Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

MSAADA ANAYE JUA JINSI HA KUTOA PESA PARIPESA MAANA NAJARIBU NASHINDWA NAAMWIWA NI WEKE GEOOGLE CODE NDO IPI
Umeingia sehemu ya Withdraw na umeiona? Kama umeiona Bonyeza kisha utaona mtandao uliojisajilia PARIPESA. Na kama hukujisajili kwa mtandao wa simu, basi activate account yako kwa namba ya simu na utaweza kutoa
 
TANGAZO:-

Nyie MLIOINGIA huko PARIPESA mnatujazia page za malalamiko

Wiki mzima hiiii ni nyie tuuuuuu,kila mtu na kesi zake,hivi mlitumwa huko?

Aliewaingiza Chaka mwenyewe katuliaaa anatupia CODE nyie mnajaza malalamiko.

Mnazingua kwel

SER endelea kututupia Code za PARIPESA mwenye malalamiko awapigie sim
Mkuu hakuna alinayejua kila kitu. Nadhani hata wewe mara ya kwanza kutumia Sportybet haikuwa rahisi kuijua vizuri. Kadri unavyotumia ndivyo unavyo jua kitu.
 
ge80p8.jpg

WAKE UP TO BOOM ON PARIPESA⚾⚽

If you don't have PARIPESA account Register Via Links Below And Promo Code Use👉 TIPS2424 .

PariPesa

PariPesa

PROMO CODE👉 TIPS2424

Booking Code: 222PT

Get Up To 130$ Bonus When You Register Using Promo Code TIPS2424.
 
Yaani kwa matokeo ya city kwenye ligi + wachezaji walioko na ligi ndo iko kwenye moto hivi,,,,, arsenal akishinda au kupata hata sare basi kweli mpira ni mbinu na siyo ubora wa wachezaji
Anhaaa umeona sasa kaka mpira ulivo.

Imagine nimesuka mkeka wa team 10 odds 6 7 zimetiki kabaki atletico nimempa goal moja, nimempa handcap ya 1 inter, na reipzig ft over 1.5 ,ila hadi sasa nahis leipzig kachana hata matoeko yake sijafatilia
 
Anhaaa umeona sasa kaka mpira ulivo.

Imagine nimesuka mkeka wa team 10 odds 6 7 zimetiki kabaki atletico nimempa goal moja, nimempa handcap ya 1 inter, na reipzig ft over 1.5 ,ila hadi sasa nahis leipzig kachana hata matoeko yake sijafatilia
leipzig katoa nyau nyau
 
Tatizo ya mrusi makampuni yake janjajanja nyingi
1xbet angalau ila wengine huwa hawadumu miaka miwili bila kusumbua payment method.

Akina 22bet walisepa, melbet na betwinner walisepa wakarudì. Linebet alikuja akasepa.
Ila 1xbet nimekimbia kodi nimejishikiza huku na nimejiandaa kwa lolote maana nayo ni sehemu ya kamari na hawaaminiki hawa.
 
1xbet angalau ila wengine huwa hawadumu miaka miwili bila kusumbua payment method.

Akina 22bet walisepa, melbet na betwinner walisepa wakarudì. Linebet alikuja akasepa.
Ila 1xbet nimekimbia kodi nimejishikiza huku na nimejiandaa kwa lolote maana nayo ni sehemu ya kamari na hawaaminiki hawa.
Aisee noma sana
 
MSAADA ANAYE JUA JINSI HA KUTOA PESA PARIPESA MAANA NAJARIBU NASHINDWA NAAMWIWA NI WEKE GEOOGLE CODE NDO IPI
Wewe uliwezesha google authenticator code.
Inabidi ukishafika kwenye hatua hiyo unarudi faster kwenye authenticator kule kuna code utazikuta unacopy faster unakuja ku~paste hapo.
Zile code zinabadilika kila baada ya sekunde kadhaa, hivyo ukichelewa itakwambia wrong.

Ili kulemaza huo utaratibu watumie email kitengo cha security ya bookie wako uwatumie kitambulisho na taarifa zako muhimu.
 
1xbet angalau ila wengine huwa hawadumu miaka miwili bila kusumbua payment method.

Akina 22bet walisepa, melbet na betwinner walisepa wakarudì. Linebet alikuja akasepa.
Ila 1xbet nimekimbia kodi nimejishikiza huku na nimejiandaa kwa lolote maana nayo ni sehemu ya kamari na hawaaminiki hawa.
Betwiner yupo na anatumia domain ya .co.tz kuonesha yupo kisheria zaidi
 
Naona jana haikuwa siku njema, nashukuru sikuweka mkeka, intermilano lazima angeninyoa upara
 
Back
Top Bottom