Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mmbwa kanikosesha laki tisa janaTimu za kuziogopa msimu huu ambazo zimeanza vibaya
1. Rb Leipzig
Wametoa maelezo kwamba wanafanya maintenanceBetpawa wanna nini,nashindwa kulog in?
😂 Hawawez Fanya kazi ya hasara , wapo Kwa manufaa Yao sio kukufaidisha ww , mwishowe utasema Kona waanze over 0.5 au Kona waeke double chance ili we uwe unacheza ashinde yoyote😂Sportybet option ya booking wangeanza na over 2.5 ingekuwa pouwa sana, na corner wangeanzia na over 5.5 ingekuwa bonge moja la kampuni
Jibu Zuri Sana
Anafikiria Betting ni Rahisi namna hiyo
Hawa NDIO wanaotapeliwa
Odds 1.01😂 Hawawez Fanya kazi ya hasara , wapo Kwa manufaa Yao sio kukufaidisha ww , mwishowe utasema Kona waanze over 0.5 au Kona waeke double chance ili we uwe unacheza ashinde yoyote😂
Ye na Inter wamechanaleipzig katoa nyau nyau
Unadhan nao hawana akili ,gemu nyingi sana znatoa kadi kuanzia 3 na kona kuqnzia 6Sportybet option ya booking wangeanza na over 2.5 ingekuwa pouwa sana, na corner wangeanzia na over 5.5 ingekuwa bonge moja la kampuni
ukishacashout wanaweka green haijalishi matokeo ya mwishoView attachment 3104042
Oya hapa mhindi sijamwelewa na nijilaumu kwa cash out
Hiyo game ya Enyimba imeenda 0:0 na mimi niliweka home win lakini kapita kwa penati saa hizi nachungulia naona green kama green 🤣🤣 na hapo nilicash out kiasi nikaacha kiasi kidogo tu
Romano ndio nani mkuuHapo bwana Romano ndo anafurahi kwelikweli
Romano ndio nani mkuu
Nilitaka kumpa inter full time double chance nikakosea nikaweka first half 1x ikawa ndo pona yanguNaona jana haikuwa siku njema, nashukuru sikuweka mkeka, intermilano lazima angeninyoa upara
Nipe contact zakeWakala mmoja hivi wa 1x bet, yaani yeye akiona tu watu wamehamia 888starz au kampuni yeyote analalamika, na akiona 1xbet wameweka mobile payment methods yaani hapo ndo analia kama mtoto aliyenyimwa uji halafu kanakuja na vitisho juu, inshort jamaa anamambo fulani ya kizamani sana
BTW: Ninampongeza kwa kazi yake nzuri, yupo chapu na hana longolongo