Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wacha uongo bao ni moja tu lazima kuwe na X hapo hivyo ulivyo andika maana yake yanga ilitakiwa kushinda kila kipindi..2/2 ni sawa sawa na option ya away win both waves
Unacho kisema na hiyo option ni vitu viwili tofauti
 
Du hizi mechi mbili ni hstari sana siku zote kwenye mechi lazima zitakuwepo zenye odds ndogo zenye kuchana ..sema nimevuka salama
 

Attachments

  • Screenshot_20240925-235357_SportyBet.jpg
    149.1 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…