Mkuu utatoa kwa kutumia Voda hiyo hiyo. Muda si mrefu watarejesha malipo kwa mitandao ya simu. Inaonekana kuna mgogoro kati ya Wakala wa mitandao ya simu na 888STARZ.Habari wana jamvi, nina changamoto moja naomba mwenye ufahamu anisaidie..
Nilideposit 888starz kwa Vodacom Mpesa nikazungusha mtaji kama wiki nikaipata faida..sasa nilipofanya uamuzi wa ku-withdraw nikakuta huduma ya kutoa kwa mobile haipo, nikajaribu kutafuta wakala na yeye kachemka, naomba mwenye kujua namna anielimishe.
Salute kwenu wawekezaji.
Duuh so hela ipo kwenye wallet ya astropay?Astropay nimejaribu, yes pesa inatoka kule 888starz na inainhlgia astropay, tatizo ni kuitoa Astropay kuja Mpesa
Yaah kuna mgogoro...Mkuu utatoa kwa kutumia Voda hiyo hiyo. Muda si mrefu watarejesha malipo kwa mitandao ya simu. Inaonekana kuna mgogoro kati ya Wakala wa mitandao ya simu na 888STARZ.
Wanasema nijaribu kutumia tigo au airtel na huku nilipo vodacom pekee ndio inakamata networkDuuh so hela ipo kwenye wallet ya astropay?
Umejaribu kuwasiliana na astropay?
Haya mambo ukijichanganya ni tatizo..hela ndefu tu ipo kwe akaunti, nahofia kuendelea kuicheza maana inaweza ikaliwa au nikashinda pakubwa zaidi na nisiitoe..Yaah kuna mgogoro...
Bongo wanataka wasajiliwe hapa na walipe kodi coz hawana ofc hapa bongo.
Ndio maana nikamwambia pia kama vipi avumilie inaweza kutengamaa japo hatujui ni lini
Nikishindwa kabisa nitavuta subira tuMkuu utatoa kwa kutumia Voda hiyo hiyo. Muda si mrefu watarejesha malipo kwa mitandao ya simu. Inaonekana kuna mgogoro kati ya Wakala wa mitandao ya simu na 888STARZ.
Mkuu iache tu, muda si mrefu itakuwa Sawa na baada ya hapo tatizo litatuliwa kikamilifuHaya mambo ukijichanganya ni tatizo..hela ndefu tu ipo kwe akaunti, nahofia kuendelea kuicheza maana inaweza ikaliwa au nikashinda pakubwa zaidi na nisiitoe..
Thanks bruv...ikitengemaa tushtuane tu mkuu.Mkuu iache tu, muda si mrefu itakuwa Sawa na baada ya hapo tatizo litatuliwa kikamilifu
Umenitia moyo ngoja nivumilie piaMkuu iache tu, muda si mrefu itakuwa Sawa na baada ya hapo tatizo litatuliwa kikamilifu
Stake 100kFountain Gate win odd 2 safi kabisa zilizo nyooka
Naangalia mpira hapa sioni dalili ya maajabu ingawa simaanishi hayawezi kutokea.Stake 100k
Cash out 170k
Dakika ya 18
Ni cash out au kagera wanaweza kufanya maajabu?
Mkuu nime cash out 186k nimemuachia Mrusi kama 20k hiviNaangalia mpira hapa sioni dalili ya maajabu ingawa simaanishi hayawezi kutokea.
Sio mbaya faida ya kutosha kabisaMkuu nime cash out 186k nimemuachia Mrusi kama 20k hivi