Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

SHUKRANI Mkuu kwa Darasa tamu, nimepata maarifa mapya
 
Mkuu tunaomba train YA leo
 
Maafisa ubashiri naombeni Mtazamo wenu hapa yupi nimpungue au niweke option gani angalau tufidie maumivu ya Jana
 
Odds chache kwa siku unatosheka , hakuna maumivu ya barca wala galatasaray
 

Attachments

  • IMG_1495.png
    307.3 KB · Views: 3
Maafisa ubashiri naombeni Mtazamo wenu hapa yupi nimpungue au niweke option gani angalau tufidie maumivu ya Jana View attachment 3109975
Ipo Sawa

Ongeza Azam Win or Draw
Mechi ya SIMBA mie pia nimeipa Win or Draw,yule Mecky Mexime kocha wa Dodoma huwa ana provide Mechi ngum mnoo kwa Simba

Maana Dodoma Jiji kafungwa Mechi Moja tu kwenye mechi 5.
Draw na Prison
Mbili mbili na Fountain gate
Kamfunga Namungo
Bila Bila na Pamba Jiji
Alifungwa na Maahujaa tu goal Moja

SIMBA najua ni level kubwa na wapo on fire mnoo
Ila hii NDIO Mechi yao ya Kwanza Tangu league ianze kucheza Mkoani.
So,mie Direct Win nimeiogopa mpaka niione Simba at least imecheza Mechi 5 za mikoani nitaweza kuona stability yao

But Simba still giant na 80% ya winning ipo

Ni mtizamo WANGU
 
Wazee ebu naomba mnieleweshe hii option ya 2up sportbet ikoje
Hii ni kwamba kama Team ulioipa ikiongoza mpinzani wake kwa zaidi ya tofauti ya goal mbili basi inakuwa Winn

Mfano hata kama Dakika 5 tu mtu kala chumba mbili Bila basi hapo hapo win,au Tatu Moja ni win
Muhim iwe difference ya 2 goals

Mfano Jana Galatasasay na Arsenal
First Half tu 2up ilikuwa Win tayari
 
Wazee ebu naomba mnieleweshe hii option ya 2up sportbet ikoje
Kuna mwamba huko juu alisema kuwa kama timu yako uliyoibetia ishinde itaongoza 2 kwa zero basi automatically hyo timu imeshinda na hata kama huko baadae timu pinzani itarudisha hayo magoli ,lakini pia Hilo neno linasomeka 2UP ,kwa kiswahili ni Mbili juu wakimaanisha magoli mawili juu ,wakali wa mambo mnaweza ongeza nyama hapa.viva sportbet kwa hii option mujarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…