Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mapemaa nimempa
Bosnia u21, slovenia u21, sweeden, na slovenia. Zote normal. Odds zimekuja 270, 10000 inatema 270000

Acha nikajenge taifa sasa.
 
Tufatisheni statistics, England weupe, hata football pundits wa UK washasema, imagine Portugal wazuri na wamepigwa na "pimps" (Albania)
 
Mkuu ila england haaminiki. Hakawii kusimamisha shilingi. Nipo najifikiria hapa juu ya kumpa england.

Nawaambieni leo England lazima atashinda tu wekeni malaki mle double point 7

England kama taifa stars...ntacheza draw ya 45mins

Utajutia maneno yangu

Tufatisheni statistics, England weupe, hata football pundits wa UK washasema, imagine Portugal wazuri na wamepigwa na "pimps" (Albania)

Haitawezekana England kufungwa
 
switzerland sio wabovu kiasi hicho, na kumbuka england itakuwa ugenini, hii game kwa bet ya uhakika ni bora kuipa GG au goals over 1.5
 
Nawaambieni mtaja juta sana kuhusu kutompa England
 
Jamani eeeeh England kapewa 2.7 hapa ukimpa laki unapata faida 170000 naamini England anashinda. Biohazard leo tumpe England maana hizi odds zaweza pungua

Ngoja niangalie analysis halafu nitakupa report mkuu tujilipue wapi.
 
Last edited by a moderator:
Bosnia u21,
slovenia u21,
sweeden, na slovenia. Zote normal.
 
wakuu kuna gemu nyingine hamjazishtukia, vizuri kula na nduguzo!

Saudia Arabia vs Australia - hii gemu Australia anashinda na kapewa odd ya 2

South Korea vs Uruguay - hii gemu Uruguay anashinda au GG hapa ni lazima itokeee
 
wakuu kuna gemu nyingine hamjazishtukia, vizuri kula na nduguzo!

Saudia Arabia vs Australia - hii gemu Australia anashinda na kapewa odd ya 2

South Korea vs Uruguay - hii gemu Uruguay anashinda au GG hapa ni lazima itokeee

Kujiamini kwa australia inaweza ikama mimba sababu game 8 zilizopita zote amefungwa na anaonekana hana forward kabisa ambayo ni risk kwa GG, pia Saudi naye ni shida kwenye foward na game though game 5 kashinda 1.

Na wasiwasi hii game inaweza isha draw ya 0-0 au 1-1
 

mkuu ebu tupia lile jiwe lako la leo tuone, wewe jamaa ni shidaaaaaa
 
LEO BANDUNGU NIMEKUJA KIVINGINE..... 3+ NA 2+……………… nikipigwa nipigwe tu.....
 

Attachments

  • 2014-09-08--10_27_10.jpg
    28.5 KB · Views: 83
Sweeden kapewa 2.9 au atafungwa jamani?
Afu hapo juu nimekosea siwezi weka laki kwenye timu zote hizo
 

mkuu h2h saudia hajawah mfunga australia, i bet matokeo ni 0-2 au 1-3, australi anashinda na magoli mawili au zaid
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…