Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Maanina
 
Kuna mwamba aliwahi kunikanya juu ya Roma ,,,, Jana cjui nn kilinikuta dah,,,,, ila hawa jamaa mmh ,,, Roma Roma niliamini wanacheza na timu ambayo cjui nisemeje ndo yashatokea dah
 
2up ndio ikoje
2Up hii team yako ikiongoza kwa magoli mawili muda wowote mkeka unatiki haijalishi final result adraw hata afungwe.
Mfano kama Galatasaray jana aliongoza mwanzo baadae akaja kudraw ile 2up inakusave
 
Kuna mwamba aliwahi kunikanya juu ya Roma ,,,, Jana cjui nn kilinikuta dah,,,,, ila hawa jamaa mmh ,,, Roma Roma niliamini wanacheza na timu ambayo cjui nisemeje ndo yashatokea dah
Roma ata kwenye ligi yao anataka Moyo, ni inter tu labda kidogo na Ac Milan
 
2Up hii team yako ikiongoza kwa magoli mawili muda wowote mkeka unatiki haijalishi final result adraw hata afungwe.
Mfano kama Galatasaray jana aliongoza mwanzo baadae akaja kudraw ile 2up inakusave
Huyu ni goli mbili basi usimpe mazima we mpe double chance 1x au 2x😄
 
Huyu ni goli mbili basi usimpe mazima we mpe double chance 1x au 2x😄
Kama ana uwezo wa kuongoza akarudishiwa zote ipo siku atarudishiwa na kuongezwa, sio wa kuaminika kabisa huyu, kama vipi bora kumbetia magoli tuu basi.
 

MKEKA WA SIKU KWENYE PARIPESA

Booking Code: ZAXT2

📌Kama Huna Akaunti Jiunge PARIPESA Hapa👇.

PariPesa

PariPesa

Promo Code: TIPS2424 to

📌 Pata Bonus Ya 250000 Kwenye PARIPESA Ukijiunga Leo Na Kuweka Promo Code TIPS2424
 
Hawa Paripesa hawana app ya ios?
Kwenye website hizi kampuni za mrusi huwa zinakua nzito sana ku respond ukibofya hadi unashindwa kubet kwa kutulia
 
Siku hizi hizi Tips mnatoa huwa mnastake kama zamani mkuu?

Au watu wanabashiri tu kavu kavu?
Hii stake ni nusu ya faida ya jana mkuu

Stake what you can afford to lose
 

Attachments

  • 3FB3697E-A6AF-48BD-914D-210174E4B8EE.png
    213 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…