Mkuu wengine tuliweka 1&NG so ilikua advantage kwetuIla alicheza kishamba sana,,,, na uwanjani alikuwa na mchango mkubwa sana,,,, cjui shetani gani alimuingia na lile eneo hakuwa na sababu yeyote ya kufanya vile,,,,
Ila ndo soka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wengine tuliweka 1&NG so ilikua advantage kwetuIla alicheza kishamba sana,,,, na uwanjani alikuwa na mchango mkubwa sana,,,, cjui shetani gani alimuingia na lile eneo hakuwa na sababu yeyote ya kufanya vile,,,,
Ila ndo soka
Mpuuzi sana huyu, kama unabetia Sportybet ni bora kumwekea 2Up hajielewiGalatasray anataka kufanya ujinga wake tena., kila siku anaongoza halafu goli zote zinarudi.
si wamepata?Azam wangekujua wameshikilia hela yangu nzuri sana wangekaza wakapata bao moja tuuuuuu
Wakati napost ilikua bado hawafunga mkuu 🙏si wamepata?
au uliweka over 1.5?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]GIRONA WIN
2.00
WEKA MKE
2up ndio ikojeMpuuzi sana huyu, kama unabetia Sportybet ni bora kumwekea 2Up hajielewi
2-2......Nyumbu anaendeleaje uko wakamalia
Yaani hili litimu naona limejaa machoko tupu. Mtu unaongoza 2-0,unaruhusuje kusawazishiwa? 🙆Ila Man U kichefu chefu kweli aisee
Odd 3 zinapotea hivi hivi yaani 😂Yaani hili litimu naona limejaa machoko tupu. Mtu unaongoza 2-0,unaruhusuje kusawazishiwa? 🙆
3-22-2......
blunder za costa!
Naona wamenisikia walibaki wao tu ngoja sasa nilaleKuna Waitaliano Fiorentina akiwemo
Fiorentina bana walikuwa wanataka kutuharibia usiku kipinga kweli.Naona wamenisikia walibaki wao tu ngoja sasa nilale
Man U wasenge wakubwa! Yaani mimi sikuwa na mpango wa kuwaweka.kwenye mkeka wangu wowote.Odd 3 zinapotea hivi hivi yaani 😂
Mi siku waweka kwenye bet slip yangu MuhimuMan U wasenge wakubwa! Yaani mimi sikuwa na mpango wa kuwaweka.kwenye mkeka wangu wowote.
Ila nilipochungulia kwenye simu na kuona wanaongoza 2 - 0 ndani ya dk 20 tu za mchezo nikashawishia kuweka kustake upande wao.
Sasa ona kinachoendelea saa hii. Manina zao kabisa!