Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Allah ni wa kwenu wenyewe na ameruhusu dhulma na ulafi wa madaraka tutaona tukiwa na uzima. Pia umekosea njia bimkubwa huku sio jukwaa la siasa na dini.In Shaa Allah tunae mpaka 2035.
Mtakufa navyo vijiba vya roho.
Allah wa wote, hata yesu analijuwa hilo.Kama Allah ni wa kwenu wenyewe na ameruhusu dhulma na ulafi wa madaraka tutaona tukiwa na uzima. Pia umekosea njia bimkubwa huku sio jukwaa la siasa na dini.
Hallelujah!!!
Dini popote, au ulifikiri kamari zilikatwazwa na nini kama siyo dini?Kama Allah ni wa kwenu wenyewe na ameruhusu dhulma na ulafi wa madaraka tutaona tukiwa na uzima. Pia umekosea njia bimkubwa huku sio jukwaa la siasa na dini.
Hallelujah!!!
Unataka odds ngapi upewe? Usiende bar ukawakuta walevi ukaanza kuwahubiria maandiko.Allah wa wote, hata yesu analijuwa hilo.
Kwab niliyemjibu aliandika siasa? Au mimi nimeandika siasa? SA imekutisha In Shaa Allah?
Hao wanaojilipua vipi nao ni matajiri nini? Chingine sisi tunafanya uwekezaji kwenye sports na tunalipa kodi serikalini.Dini popote, au ulifikiri kamari zilikatwazwa na nini kama siyo dini?
Ukitegemea kama ri ukadhani itakutajirisha, imekula kwako.
Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.Unataka odds ngapi upewe? Usiende bar ukawakuta walevi ukaanza kuwahubiria maandiko.
Hallelujah!!!
Na wale wanaojilipua na mabomu kwenye mikusanyiko ya watu wanaharibiwa na nani? Ama ndiyo mafundisho yanawataka wafanye hivyo?Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.
Kuna wwumini wazuri huko kams kwenye kamari tu.
Unafikiri shetani mjinga? Anawaharibu wale wenye potential ya kuwa wa maana.
Mama najiskia aibu Mimi mwanao😅😅Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.
Kuna waumini wazuri huko kama mliopo kwenye kamari tu.
Unafikiri shetani mjinga? Anawaharibu wale wenye potential ya kuwa wema na wa maana.
View attachment 3120632
MKEKA WA SIKU HELABET 🔥
Kama Huna Akaunti Ya Helabet Jisajili Hapa👇
https://cutt.ly/fwHfM5fE
https://cutt.ly/fwHfM5fE
Promo Code Weka👉 SASA
Code: BP8YG
Bonus Ya 200% Ukijisajili Na Kuweka Promo Code SASA Kisha Kudeposit.
Mbona haukusema kabla mechi haijaanzaKikosi cha England kilivyokaa tu nikajua hatoboi
Yule kocha hana maisha marefu na kazi yake. Hajui kupanga timu, anachezesha wachezaji nje ya nafasi zao.