Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Manchester United ni sawa na England. Wao kupigwa ni swala la kusukumwa tu.
 
Hawa wagiriki wamekua mbebwedo,mgiriki wa 2004 akishakupiga kimoja Cha nguruwe Bora urudi tu nyumbani ukapumzike, huwezi chomoa😃
 
Kama Allah ni wa kwenu wenyewe na ameruhusu dhulma na ulafi wa madaraka tutaona tukiwa na uzima. Pia umekosea njia bimkubwa huku sio jukwaa la siasa na dini.

Hallelujah!!!
Allah wa wote, hata yesu analijuwa hilo.

Kwab niliyemjibu aliandika siasa? Au mimi nimeandika siasa? SA imekutisha In Shaa Allah?
 
Kama Allah ni wa kwenu wenyewe na ameruhusu dhulma na ulafi wa madaraka tutaona tukiwa na uzima. Pia umekosea njia bimkubwa huku sio jukwaa la siasa na dini.

Hallelujah!!!
Dini popote, au ulifikiri kamari zilikatwazwa na nini kama siyo dini?

Ukitegemea kama ri ukadhani itakutajirisha, imekula kwako.
 
Allah wa wote, hata yesu analijuwa hilo.

Kwab niliyemjibu aliandika siasa? Au mimi nimeandika siasa? SA imekutisha In Shaa Allah?
Unataka odds ngapi upewe? Usiende bar ukawakuta walevi ukaanza kuwahubiria maandiko.

Hallelujah!!!
 
Dini popote, au ulifikiri kamari zilikatwazwa na nini kama siyo dini?

Ukitegemea kama ri ukadhani itakutajirisha, imekula kwako.
Hao wanaojilipua vipi nao ni matajiri nini? Chingine sisi tunafanya uwekezaji kwenye sports na tunalipa kodi serikalini.

Hallelujah
 
Unataka odds ngapi upewe? Usiende bar ukawakuta walevi ukaanza kuwahubiria maandiko.

Hallelujah!!!
Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.

Kuna waumini wazuri huko kama mliopo kwenye kamari tu.

Unafikiri shetani mjinga? Anawaharibu wale wenye potential ya kuwa wema na wa maana.
 
Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.

Kuna wwumini wazuri huko kams kwenye kamari tu.

Unafikiri shetani mjinga? Anawaharibu wale wenye potential ya kuwa wa maana.
Na wale wanaojilipua na mabomu kwenye mikusanyiko ya watu wanaharibiwa na nani? Ama ndiyo mafundisho yanawataka wafanye hivyo?

Hallelujah!!!
 
Huko ndiyo tukianza tu kuwahubiria wanalia na kujuta.

Kuna waumini wazuri huko kama mliopo kwenye kamari tu.

Unafikiri shetani mjinga? Anawaharibu wale wenye potential ya kuwa wema na wa maana.
Mama najiskia aibu Mimi mwanao😅😅
 
Jana ilikuwa siyo poa labda kwa ile mikeka ya zero stress...ngoja tujaribu leo

Odds 16

A532F8
 
Back
Top Bottom