nyie ndio mnaharibu tangu lini timu za afrika zikatoa magoli mengi..ww hata ukiangalia over 1.5 zinapewa odds 1.45 mpaka odds 1.60 timu za kupewa odds za over 1.5 zaidi 1.28 hadi 1.30 ni za kuwa nazo makini bookies sio wajinga sasa nyie timu inapewa goal 1.5 over odds 1.50 au 1.60 hata hamshtuki kwamba hakuna magoli hapo ila mnajilipua kwenye hamna.!Mimi sibeti kabisa hadi ligi zirudi, sizielewagi timu za taifa kabisa yani sijui huwa wanachezaje magoli hakuna ya kueleweka timu hazieleweki pia
Huko Mbali mnooooIlitangaaza kufilisika au BOT wali release tu tangazo kuwa tumefunga bank fulani?
Izo odds za 1.5 au 1.60 kwenye option ya over 1.5 huwa zinatoa sana kuliko ata odds za 1.13nyie ndio mnaharibu tangu lini timu za afrika zikatoa magoli mengi..ww hata ukiangalia over 1.5 zinapewa odds 1.45 mpaka odds 1.60 timu za kupewa odds za over 1.5 zaidi 1.28 hadi 1.30 ni za kuwa nazo makini bookies sio wajinga sasa nyie timu inapewa goal 1.5 over odds 1.50 au 1.60 hata hamshtuki kwamba hakuna magoli hapo ila mnajilipua kwenye hamna.!
Bora ungepoteza ili ukate tamaa kabisa.Leo nkaamua nijaribu betting nione inakaaje nkatupia 100k.. naona kuna mwanga kwa mbaaaliii
Hii nzuri Mzee, ila uwoga ndio maarifa kwenye hii kazi😀😀😀👏👏👏
Nimenkubali formula Yako
Ila punguza UOGA aisee 😂😂😂
Mie nilipita nao hivi
View attachment 3122068
ni kweli ila mara chache sana tena kwa presha kubwa ile chupuchupu kibahati kati ya mechi tatu za odds 1.50 itatoa moja tuIzo odds za 1.5 au 1.60 kwenye kwenye option ya over 1.5 huwa zinatoa sana kulika ata odds za 1.13
Tusipende kurudia rudia timu kwenye mikeka tofautihuyu uk jamani yupo kwenye tren zangu tano daaaah nimekomaa
Kama nilivyo sema💥💥💥💥Wakenya wamepata goli ila Egypt mpuuzi...mikeka ya matrsni ya hakika nimepost miwili siyo huu
Kama nilivyo sema💥💥💥South africa home over 4.5 odds 2
hii timu takataka aiseeTunisia ashawekwa uko
holland 1-1,dooh hatari leo uku tunisia kanichezeshea za mbavu pembeni holland ameshindwa kutoa double chance na red card juu
shida tunisiaholland 1-1,