Turudi pale Rau Madukani
JF-Expert Member
- Jan 16, 2016
- 2,339
- 5,112
Kampuni baadhi za mrusi kufanikiwa kudeposit na kuwithdraw ni kamari tosha.Wakuu hawa helabet mnawaelewa kweli? Mi ndo kwanza nimjirejester nikadiposit 20K lakini wamepita nayo kwenye akaunti haionekani tangu jpil mpaka leo hawajarudisha na kila nikiwapigia simu naona wananirusharusha tu
cashout inayozidi stake huwa inakatwa kodi,.....cashout ya sportybet huwa ni pungufu ya cashout wanayokwambia. mfano wakikwambia cashout ni 100,000, ukicashout utapata pungufu ya 100,000.
hapo unatakiwa kushinda 370k lakini wamekutamisha na cashout ya 380k. mtego huo, ukicashout utapata pungufu ya 380k na 370k.
Level mbili tofauti usishangae u19 ya Azam au mtibwa ndo Bora hapa Tz lakini senior team mambo yako tofautiReal Madrid u19 vs Dortmond u19 game it reflect what will happen later , be warned
SawasawaLevel mbili tofauti usishangae u19 ya Azam au mtibwa ndo Bora hapa Tz lakini senior team mambo yako tofauti
Jamani naombeni msaada nini maana ya 3+ na 2+ streak... Pale sportybetLevel mbili tofauti usishangae u19 ya Azam au mtibwa ndo Bora hapa Tz lakini senior team mambo yako tofauti
Mwisho ikawaje?Sportybet wahuni sana jumapili cashout imefika 1m, cashout inaonekana 1M lkn ukitoa haitoki kisa nimeweka stake ndogo.
View attachment 3132819
View attachment 3132820
Mechi moja tu ilipigwa na mkeka ukaishia hapo, wkt cashout imefika 1m zilibaki team tatu tu.Mwisho ikawaje?
Hatuna huo muda mkuu tupo tunasubiri maokoto yetu kutoka kwa kanjibhai 🤸🤸Ac millan anapelekewa moto huko mliompa direct win mezen panadol kabisa.
Al nasr hizo goli mbili sijui niingie nicheze mwenyewe
Mifumo Yao ya malipo ikiyumba kidogo Hila haisomi. Hivyo hata ukichati nao watakusumbua tuu mara tuma evidence of transaction lakini baada ya wiki watarudisha automaticWakuu hawa helabet mnawaelewa kweli? Mi ndo kwanza nimjirejester nikadiposit 20K lakini wamepita nayo kwenye akaunti haionekani tangu jpil mpaka leo hawajarudisha na kila nikiwapigia simu naona wananirusharusha tu
Sawa kama hauna muda huo.Hatuna huo muda mkuu tupo tunasubiri maokoto yetu kutoka kwa kanjibhai 🤸🤸
View attachment 3132889
Duh kumbe inawezekana, mi nawekaga sana hv shng 10 ila ata cashout haijawah kusoma ila we una upepo 1M Kwa shng 50🙌 .Sportybet wahuni sana jumapili cashout imefika 1m, cashout inaonekana 1M lkn ukitoa haitoki kisa nimeweka stake ndogo.
View attachment 3132819
View attachment 3132820