BENEDICT BONIFACE
JF-Expert Member
- Aug 31, 2013
- 284
- 473
8A13DD1 20+ODDS
SPORTYBET
SPORTYBET
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
100Hivi Sportpesa kiwango cha chini ku stake ni kiasi gani?
Hii ipo mkuu.Wazee wa kuweka mizigo ivi kuna ukweli kwamba kuna baadhi ya makampuni mtu unakua huna bahati nayo hata ubeti mara mia huli na kuna makampuni unakua na kismat nayo ukiweka tu imoo. Wazoefu naomba ufafanuzi
Ukitaka kujua hiloWazee wa kuweka mizigo ivi kuna ukweli kwamba kuna baadhi ya makampuni mtu unakua huna bahati nayo hata ubeti mara mia huli na kuna makampuni unakua na kismat nayo ukiweka tu imoo. Wazoefu naomba ufafanuzi
Nimekupata mkuu na unafaa kua mshauri na saha kwa wazee wa mikeka. Umenijibu kitalaam zaidi.Ukitaka kujua hilo
Tafuta kampuni ambayo ilitoa winning kwa
YOUNG AFRICANS
Manchester City
Arsenal
Ukikuta kuna kampuni imewapa ushindi tustue Wana tunakuja Fastaa
Ila kama hakuna,ujue tayari Ugonjwa wa VIPIGOPHOBIA SYMBIOTIC DISEASE unakunyemelea
Dalili zake:-
-Kuchukia wote unaowapenda
-Kukunja uso kila ukisikia kipindi cha Michezo radioni
-Kukaa options za betting ulizokuwa unazisifia na kuziamini
-Kutokujikubali hata wewe mwenyewe
-Kuongezeka kwa kukasirika kila ukiona mkeka wa mwenzio ume tick
-Kupenda kujitenga na kukaa maeneo ya Barbara kuu huku ukiwaza ipo siku ilo gari linalopita na hilo Ghorofa unaloliona lotakuwa LAKO,wakati hata Soda hunywi
USHAURI:-
SPORTYBET NDIO habari ya mjini
BETPAWA NDIO Rafiki wa Mjini
Muhim ni kukubali lolote lile,maana Betting tunacheza wakati hata MPIRA haijachezwa ni tafsiri kwamba hakuna pesa Rahisi kuipata
Amini ipo siku itatoboa,,muhim utulivu,na Tenga muda wa kufanyakazi na kuamini Kazi Yako NDIO itakutoa kimaisha,then betting iwe ni kiongezo cha Burudani yenye ndoto.Dont spend much of your time kwenye kufikiria Mikeka.
Wengi wenye kutoboa pesa ndefu huwa wanafanya kama mas,hara mara mtu paaaaa kapasua
Ishi Katika kampuni unayoiamini
Kuna Jamaa kitaa hapa kila mtu anajua anaBET,yaani kila kitu kauza.
Na Kuna mshkaji mtaani mkinyaaa,kumbe anaBET kampiga mwaka Jana Kanji 37 Milions,fastaa kanunua Bajaji 2,ana ameanza ujenzi wa Nyumba
Muhim subraa
Kazi iendeleee
Ahsante maana nimefungua a/c Leo, natest mitambo kwa buku inagoma......nabonyeza pale chini "make a guess" lakini salio lipo pale pale (kizungu nacho hiki shida, au nabonyeza wapi zaidi ya hapo "make a guess")
Nimeona washkaji X(Twitter) wanafurahi sana, inaonekana jana ilikuwa siku ya neemaKutoka kwa mdauView attachment 3144162