Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paripesa....
Mimi meridian na sportbet lost kama zote ila sportpesa nna upepo napo sema hakuna options za kutoshaWazee wa kuweka mizigo ivi kuna ukweli kwamba kuna baadhi ya makampuni mtu unakua huna bahati nayo hata ubeti mara mia huli na kuna makampuni unakua na kismat nayo ukiweka tu imoo. Wazoefu naomba ufafanuzi
Pole mkuu hii gemu niliiruka kama m*viFountain gate kala [emoji91] mkeka wangu upo ICU
Pole ndo bettingKuna Code huku nimeifuata nikaweka stake ya 10,000
Pumbavu Singida kachanaðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Sema huyu mama kama anakaupepo flan hivi,,,,,,Taivina kaamua kumbetia Harris KamalaView attachment 3144545
watu humu wakila n kimya kimya tofaut na XHivi huko X Twitter kuna wanaoaminika kweli kwa uafadhali,,,
Kama ndivyo mbona sioni maua humu