Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Yanga unalaza watu huku na viatu
 
Mie Shabiki wa YOUNG AFRICANS

Mechi niliipa overall 2.5

Nilishangilia sana Tabora kuanza kupata Goal, nikajua Young Africans atakuja na comeback ya Goal 2,aisee chuma cha pili sura ikawa Nusu kucheka Nusu kulia ,nilipoona hakuna dalili nikaomba lolote liwe,chupa ya 3πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ€£πŸ€£

PESA kwanza Ushabiki baadae, maana wachezaji kenge wale wao wanalipwa

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…