Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Wakuu,najua hakuna betting yenye uhakika. Naomba wazoefu waniambie ipi rahisi kumkwangua Kanji kati ya Aviator na kubetia timu
 
Wakuu,najua hakuna betting yenye uhakika. Naomba wazoefu waniambie ipi rahisi kumkwangua Kanji kati ya Aviator na kubetia timu
Kubetia timu, huko kwenye kindege Hatari sana ni dk Moja tu unaskia shwaaaa, Bora kwenye kubetia timu Kuna cash out
 
Kuwa makini hata siku moja usiweke pesa nyingi ukafata mikeka ya Hawa agents wa kampuni za kirusi. Huwa wanatumia demo account, ndio maana unaona wanaweka tu mikeka ya laki 5, laki 8, milioni n.k

Ukiifata tu na kuweka kama wanavyoweka inakula kwako, wewe unatumia real account unatumia pesa kweli, wao hizo sio pesa za kweli ni account wanafunguliwa za mfano ili kutangaza kampuni.
 
Naona watu mnahangaika sana na izo Kampuni za Kubeti as if hamuioni au hamuijui SPORTY BET, Mtalizwa mpaka mnyooke.!!
Kampuni za kirusi ni nzuri zina markets nzuri sana kuliko SPORTYBET, na limit ya ushindi ni kubwa mno(over mil 500) , sportbet mwisho ni mil 90

Tatizo lao hizo za kirusi ni hazipo vizuri Sana na mifumo yetu ya miamala ndio maana kuna shida kubwa kwenye kuweka na kutoa. Pia tatizo lao ni hilo la demo account wanazowapa agents wao kuaminisha watu uongo
 
Nawakumbushaga sana watu usiweke mkeka kwa kufuata hawa agents wa kampuni za kirusi sababu wanatumia demo account. Utaona kaweka milion mtu nae anafata bila kujua mwenzie ile sio pesa ya kweli ni mfano tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…