Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Hii nachukua
 
Unaiweka wapi iyo code, na lazima uwe na sh ngapi kwenye account mkuu
Nenda sehemu pameandikwa betslip bofya hapo utapelekwa mpaka sehemu ya kuweka code, sio lazima uwe na kiasi kwenye account, kiasi chochote kuanzia ata buku kuendelea
 
Nenda sehemu pameandikwa betslip bofya hapo utapelekwa mpaka sehemu ya kuweka code, sio lazima uwe na kiasi kwenye account, kiasi chochote kuanzia ata buku kuendelea
Ooh,poa mkuu,then whats next mkuu
 

πŸ‘πŸ—πŸŽπŸŽπŸŽπŸŽ 𝐁𝐎𝐎𝐎𝐎𝐎𝐎𝐎𝐌𝐌𝐌𝐌 βœ…βœ…βœ…πŸ’―πŸ’―πŸ’―πŸ’―βœ…βœ…πŸ€‘πŸ€‘πŸ€‘

Code Ya Game Za Usiku Kwenye PariPesa Itakuja Saa 2 Usiku? Jisajili Hapa πŸ‘‡

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: π“πˆππ’πŸπŸ’πŸπŸ’

Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 300,000 Ukideposit.
 
Nipumzike sasa hadi wikiend ijayo maana wikiend hii nimepigwa kama ngoma

Alianza barca akachana akaja sporting cp akachana, now kamalizia Zenit, hawa wote wamefungwa na timu za ajabu tu kama Zenit hadi huwezi amini, anyway the house always win
 
Nipumzike sasa hadi wikiend ijayo maana wikiend hii nimepigwa kama ngoma

Alianza barca akachana akaja sporting cp akachana, now kamalizia Zenit, hawa wote wamefungwa na timu za ajabu tu kama Zenit hadi huwezi amini, anyway the house always win
 
Nipumzike sasa hadi wikiend ijayo maana wikiend hii nimepigwa kama ngoma

Alianza barca akachana akaja sporting cp akachana, now kamalizia Zenit, hawa wote wamefungwa na timu za ajabu tu kama Zenit hadi huwezi amini, anyway the house always win
Hivi mechi ya coastal na Tanzania prisons imehairishwa ?
 
Kama ulifuata hii game zote zimetoa bado game mmoja tu ya Liverpool tuliomba kona 11

Kama vipi chungulia cash out inasomaje, kama inavutia ruka nayo
Kama ndogo vuta subiri huku hauchezi mbali na batani ya cash out
 
Mnao angalia mpira match ya Inter tujuzeni huko kuna nini. Maana ukute mashabiki wanataka kugawana refa 🀣🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…