MFALME WETU
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 4,071
- 10,028
Hahaha! Pole sana mkuu β¦achana na puli ndo inakukosesha bahati ππWakuu m1 yangu imeenda Duh zimeanza chama mapema sana kmumqmmae Dah nyoko shenz wakuu achen nitukane tu yalio nikuta aah kubet haraaaaam ***** kbs ngoja nipige puliii nitulize. Akili
Celtic kawaje kwa hawa vibonde aisee?Hakuna kitu kinauma kama umeweka treni halafu mechi ya kwanza tu ya celshit inaangusha treni qmmk Celtic
Game ilipoa toka dk ya kwanza tuCeltic kawaje kwa hawa vibonde aisee?
Kampuni gani hawana magumashi kibongo bongo nataka niingie hili chamaUnapewa hela yako tena yooooooote kabisa,labda ubetie vikampuni vya ajabu ajabu kama cjui paripesa,andika umeumia.
Inter, brest na yule celtic zilikuwa game ngumu.Kuna bas la intermilan
Tulioweka over 1.5 tusubilie miujiza
Kabisa[emoji3][emoji3]daaah asee watu wanabahati.
Sasa huyo jamaa.yangu machaguo yake hatari mfano Liverpool vs Leicester anaipa leicester goal moja ipate unakuta odds 1.63, anakuja labda barca vs atletico madrid anaipa barca ishinde first half na second half unakuta ni odds 2.5, unakuta man city vs arsenal anaweka GG and over 3.5 odds kama 3.5 hivi .
Inshort jamaa huwa na machaguo magumu sana
Inalipika tu mpaka 100.E bwana eeh!!!na wanatoa kabisa?? Na wanamlipaje mtu kama huy kama just umebet kwa mtandao? Maana sidhan kama kwa simu pesa hii inalipika
Ofisi ni popote mtu wangu tafuta utapataa, ofisi ni miguu yako zunguka piga kwataa eeeh , hatua Kwa hatua kaza mwendo, utakuja kutusua tatuu bila, wanga wakizingua watadisi mtaani bila kujua ..eeeeh ....Naona uzi unaendelea kutrend, sio weekend wala katikati ya wiki.
wewe jamaa na pariesa yenu ni wazinguaji nmejiunga jan nione utendaji wao nmeshinda pesa toka jana sa5 usk had sas pesa ipo approved,nasikia kaharufu cha utapeli hapa wazinguaj kisengeView attachment 3168967
Code>> NFLU1
Tumia Promo Code ππππππππ Upate Bonus Ya πππ,πππ Ukideposit PariPesa.
Jisajili PariPesaπ
https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: ππππππππ