Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Celtic kmmmmk
Screenshot_20241210-223702_Instagram Lite.jpg
 
[emoji3][emoji3]daaah asee watu wanabahati.

Sasa huyo jamaa.yangu machaguo yake hatari mfano Liverpool vs Leicester anaipa leicester goal moja ipate unakuta odds 1.63, anakuja labda barca vs atletico madrid anaipa barca ishinde first half na second half unakuta ni odds 2.5, unakuta man city vs arsenal anaweka GG and over 3.5 odds kama 3.5 hivi .

Inshort jamaa huwa na machaguo magumu sana
Kabisa
 
Naona uzi unaendelea kutrend, sio weekend wala katikati ya wiki.
Ofisi ni popote mtu wangu tafuta utapataa, ofisi ni miguu yako zunguka piga kwataa eeeh , hatua Kwa hatua kaza mwendo, utakuja kutusua tatuu bila, wanga wakizingua watadisi mtaani bila kujua ..eeeeh ....
OFISI MIGUU YAKO - JUMA NATURE FT MANZESE CREW. ikukute popote ulipo ndugu msikilizaji kipindi ni chaguo la dj na abooooubakar Sadiq ... Kwa Fujo djaaaayyzzzzz .....
 
View attachment 3168967
Code>> NFLU1

Tumia Promo Code 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒 Upate Bonus Ya 𝟑𝟎𝟎,𝟎𝟎𝟎 Ukideposit PariPesa.

Jisajili PariPesa👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒
wewe jamaa na pariesa yenu ni wazinguaji nmejiunga jan nione utendaji wao nmeshinda pesa toka jana sa5 usk had sas pesa ipo approved,nasikia kaharufu cha utapeli hapa wazinguaj kisenge

🚫🚫 MSIDOWNLOAD PARIPESA NI🚫🚫❌❌ WAZINGUAJI
 
Back
Top Bottom