Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Siku ya jana imepita, Benfica na ManCity wamenilaza pabaya, wakuu tupeni SGR ya week end, kazi iendelee, KUKATA TAMAA MWIKO
 
Ngumu kumeza

Man City Win
Aseno muombe over 1.5

Stake what you can afford to lose πŸ™
Aiseee

Pamoja na changamoto zote wanazopitia Man City lakini sikutegemea mchovu kama Juve atawafunga
 
Mpira haupo hivyo kama unavyofikiri na kaa ukijua timu inaweza ikashinda dakika yoyote na inaweza kugunguwa dakika yoyote ile chamuhimu husiamini matokep mpaka muamuzi amalize mechi.
Sawa mkuu ila nafikiri inategemea match nani ana cheza na nani. Ukizingatia odds alizo kua amepewa, na jinsi alivyo pata matokeo mapema alafu huyo kibonde anarudisha magoli dakika tano nyingi.
 
1x2 both to score first half (1-yes) wakuu hiyi ina maana gani kwenye betting nimeikuta betpawa naona ina odds nyingi yaan timu 3 ods buku 6 nataka niamishe kambi niweke hapa nipen ufafanuzi kwanza kuna faa????
 
1x2 both to score first half (1-yes) wakuu hiyi ina maana gani kwenye betting nimeikuta betpawa naona ina odds nyingi yaan timu 3 ods buku 6 nataka niamishe kambi niweke hapa nipen ufafanuzi kwanza kuna faa????
Timu zote zipate goli kipindi cha kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…