Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Iz mechi mnazotoa mbona hamtoagi code jmn mnazoleta humu zote tunakula za usooooo
Mbona code humu ukibeba zote wanazotuma kuna ambazo zinatoa..Kama Leo asubuhi SPORTYBET nimekuta boom nimewin na code nilichukua humu nafikiri alikuwa kama cyo the Eric basi okomajimaji ama kentaro sikumbuki ni code ya Nani Ila nimewin....
 
Iz mechi mnazotoa mbona hamtoagi code jmn mnazoleta humu zote tunakula za usooooo
Moja jifunze kutengeneza mkeka wako
Mbili jitahidi uwe na betting plan yako kama ni direct win magoli au corner na zingine na ufanye uchambuzi japo kidogo kuzijua timu

Ukiwa wa kuchukua code tu humu wengine wanaweka then wanasuka mingine ya kimkakati ndo hiyo unaskia inatoa
 
Unapewa hela yako tena yooooooote kabisa,labda ubetie vikampuni vya ajabu ajabu kama cjui paripesa,andika umeumia.
Sawa chief. Basi acha nione kama kweli watanilipa na mimi, maana nimejaribu jana ku bet na mambo yakawa kama hivi

1. Huu ndio ulikua mkeka wangu, nikaweka stake ya 20k
Screenshot_20241212_162706_M-Bet.jpg


2. Kulipokucha usiku wa leo nikachungulia jikoni nimekutana na mambo yako hivi
Screenshot_20241213_042301_M-Bet.jpg


Ssasa nasubiri kuona kama watatupia hiyo pesa yangu
 
Mbona code humu ukibeba zote wanazotuma kuna ambazo zinatoa..Kama Leo asubuhi SPORTYBET nimekuta boom nimewin na code nilichukua humu nafikiri alikuwa kama cyo the Eric basi okomajimaji ama kentaro sikumbuki ni code ya Nani Ila nimewin....
Kuna wengi ukichukua picha inaaza mkeka unaaza kuchanika
 
Baada ya kumkosa sababbu ya kina olyampakos nikampata mechi.za saa5 japo tottenham alitaka kuleta ukhanithi dk86 wakruhusu bao ahsante refa alikataaa🤣😂😅
 
Hatimae wamenilipa M-Bet. Nilikua siaminig hiz mambo na this was my first time nikasema acha nijaribu
They have credited my m-pesa
Screenshot_20241213_093304_Messages.jpg

Screenshot_20241213_093120_M-Bet.jpg

Kumbe hiz mambo ni za kweli, nikajuaga uzushi tu
 
Sawa chief. Basi acha nione kama kweli watanilipa na mimi, maana nimejaribu jana ku bet na mambo yakawa kama hivi

1. Huu ndio ulikua mkeka wangu, nikaweka stake ya 20k
View attachment 3175537

2. Kulipokucha usiku wa leo nikachungulia jikoni nimekutana na mambo yako hivi
View attachment 3175538

Ssasa nasubiri kuona kama watatupia hiyo pesa yangu
Unalipwa mkuu sema, Hawa M-bet bado wako vilevile au wamebadirika ukishinda hela Leo mpaka kesho yake
 
Back
Top Bottom