Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Huyo bayern kaninyima laki mbiki mbwaa huyooo na nimempa DC tuNahisi kuna ukweli hapo Aisee betting kwa sasa haiko fair kabisa hata huyu Madrid nae leo sijui tu maana kikosi cha ajabu Yan kuchomoka ni ngumu! Mwaka 2015 nilipokuwa naanza Kubet siku za weekend timu kubwa zote zilikuwa za uhakika kushinda ila kwa sasa betting Yan unashangaa Arsenal yuko home anashindwa kutoa goli hata moja, mara liver dakika ya mapema kadi nyekundu mara psv kapigwa mara Bayern nae kapigwa mwisho tena Madrid nae anaweka kikosi cha kupigwa nayeye duuu betting ya sasa sio ya kuweka hela nyingi
Juve??? Aisee hii team HAPANA HAPANA HAPANA .Hii Juventus ni timu au ni genge la wahuni [emoji1][emoji1] nacheka kama mazuri ila leo kanji ameondoka na magunia ya hela zetu wakamaria! Leo siku mbaya sana kwetu ila kesho naiman tutacheka na kufika nchi ya ahad
Juve katibua safariROUND 2 π
Imebidi nipite msibani kuanza kuangalia vilio .. jana tumechakazwa asee ....EI2WC6T
BetpawaView attachment 3176439
Buku 5 na umepata milioni we jamaa wewe ....Wakuu kuna jamaa juzi alituma codes aisee mungu ambariki sana naona mkeka unatembea tuu yaan 200 unapata 1.3m
Aiseee yule jamaa nikishinda lazima nikutoe hata buku tano...
Betting ishakuwa biashara ya wajanja duniani. Hili lipo wazi kabisa..kwa jinsi mambo yanavyokwenda wengi tushashtuka.Nahisi kuna ukweli hapo Aisee betting kwa sasa haiko fair kabisa hata huyu Madrid nae leo sijui tu maana kikosi cha ajabu Yan kuchomoka ni ngumu! Mwaka 2015 nilipokuwa naanza Kubet siku za weekend timu kubwa zote zilikuwa za uhakika kushinda ila kwa sasa betting Yan unashangaa Arsenal yuko home anashindwa kutoa goli hata moja, mara liver dakika ya mapema kadi nyekundu mara psv kapigwa mara Bayern nae kapigwa mwisho tena Madrid nae anaweka kikosi cha kupigwa nayeye duuu betting ya sasa sio ya kuweka hela nyingi
hili kundi. la al hilal tayar ana point 9, na kacheza game noja tu home!si haba
Sina hamu nae yani psv wa kukosa hata goli moja, last match alimpiga goli 8 leo kazidiwa hadi ontargetPsv [emoji23]
Hii kitu huwa siamini ila kwa matokeo ya jana inaanza kuniingiaLeo ilikuwa siku ya kuzinyima timu kubwa ushindi
Timu kubwa za Geman France Hispania na England bila shaka zina ushirikiani wa karibu na hawa watu wa kamari
Mkuu acha tu niliruka vihunzi vya arsenal na liver nikaja angukia kwa psv jembe langu la siku zoteImebidi nipite msibani kuanza kuangalia vilio .. jana tumechakazwa asee ....
Mkuu kwanini huwa mnafikiria timu zinafungwa makusudi eti kwasababu ya wewe ku lost mkeka wako?Leo ilikuwa siku ya kuzinyima timu kubwa ushindi
Timu kubwa za Geman France Hispania na England bila shaka zina ushirikiani wa karibu na hawa watu wa kamari