Sasa wewe sibora ungeweka 2UP AU HOME TO WIN EITHER HALF😁Leo naanza kucheza roll over
Na achana na tamaa za odds milioni au maelfu au Malaki
Roll over zangu sitaki zizidi odds 50
Roll over #1
Sportybet
F9FBAB
Hahaha hela ya kumnunulia wax tuibetie Kwanza, tukiliwa ajali kazini... 😂😂Mkuu Odd 3 zinakuja mchana huu
Shemeji yako nyumba ndogo kaomba hela wax ya Xmass
Na bi mkubwa kabana sana bajeti kipindi hiki.
Sina budi kuitafuta kwa Kanji kwa udi na uvumba 😂
I've already stake what I can able to loose. .Atletico saa hii wamoto sana
Muombe tu Over 0.5
Odd 1.144
Derby ya Manchester timu zote hazieleweki omba kona over 10( unaweza kushuka kidogo)
Odd 1.54
Renaissance wakiwa kwao wanashambulia sana waombe Over 0.5
Odd 1.125
Chelsea na Brentford ni timu zenye nidhamu No Red card
Odd 1.145
Simuoni Southampton akifunga goli 3 mbele ya Spurs, Mzue South kwa under 2.5
Odd 1.25
Hadi hapo jumla ODD 2.5 zenye asilimia kubwa ya KUTOA
Ili tusaidiane lawama inabidi sana uchagua game moja ya do or die kati ya hizi
Milan Win Odd 1.54
au
Dortmund Win Odd 1.45
au
Mamelodi Win Odd 1.54
au
Atletico Win Odd 1.47
au
Simba Win Odd 1.68
Ukijumlisha na timu moja hapo juu ya do or die unapata kuanzia
Odd 3.5 hadi Odd 4
Tia mzigo kisha agiza kinywaji usubiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu baadae
ALWAYS STAKE WHAT YOU CAN AFFORD TO LOSE 🙏
Mikeka yako nilijua utakata pumzi tu.Leo naanza kucheza roll over
Na achana na tamaa za odds milioni au maelfu au Malaki
Roll over zangu sitaki zizidi odds 50
Roll over #1
Sportybet
F9FBAB
Mkuu roll over odd 50 naona possibility ndogo sana ya kutoboaLeo naanza kucheza roll over
Na achana na tamaa za odds milioni au maelfu au Malaki
Roll over zangu sitaki zizidi odds 50
Roll over #1
Sportybet
F9FBAB
weka wewe odd 1 kama ni rahisiMkuu roll over odd 50 naona possibility ndogo sana ya kutoboa
Mkuu sidhani kama msg ilikua yako naona umenikurupukia from nowhereweka wewe odd 1 kama ni rahisi
Amefungwa na timu ya van persieMimi hata cash out hawaweki waliweka kabla ya game nikaacha nikijua psv jembe dah
Simba wakiongeza pressure kidogo tu kwenye box wanashinda hii game hawa waarabu hakuna kituNawakumbusha tu Odd za Simba win zimefika 2+
Simba ana kila sababu ya kushinda hii game ila anakata kata mauno tu uwanjani[emoji35]
Hiyo ni booking code.SIKU HIZI NA BETIA PESA YANGU SIYO YA KANJI MAANA NIMEKUWA MVIVU SANA ...Ngoja nijaribu kuanza tena kubetia pesa ya kanji odds 54 😇😇😇😇
31FDF3
Shikamoo MnyamaNawakumbusha tu Odd za Simba win zimefika 2+
Simba ana kila sababu ya kushinda hii game ila anakata kata mauno tu uwanjani😡