Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

-xopr89.jpg

8 Odds On PariPesa

Code👉 B6RTJ

📌Tumia Promo Code TIPS2424 Upate Bonus Ya 300,000 Ukijisajili Na Kudeposit.

📌Jisajili PariPesa Hapa 👇

https://cutt.ly/hwKXFbXz

https://cutt.ly/hwKXFbXz

Promo Code: TIPS2424
 
Ha
Mkuu Odd 3 zinakuja mchana huu

Shemeji yako nyumba ndogo kaomba hela wax ya Xmass
Na bi mkubwa kabana sana bajeti kipindi hiki.
Sina budi kuitafuta kwa Kanji kwa udi na uvumba 😂
Hahaha hela ya kumnunulia wax tuibetie Kwanza, tukiliwa ajali kazini... 😂😂
 
Atletico saa hii wamoto sana
Muombe tu Over 0.5
Odd 1.144

Derby ya Manchester timu zote hazieleweki omba kona over 10( unaweza kushuka kidogo)
Odd 1.54

Renaissance wakiwa kwao wanashambulia sana waombe Over 0.5
Odd 1.125

Chelsea na Brentford ni timu zenye nidhamu No Red card
Odd 1.145

Simuoni Southampton akifunga goli 3 mbele ya Spurs, Mzue South kwa under 2.5
Odd 1.25

Hadi hapo jumla ODD 2.5 zenye asilimia kubwa ya KUTOA

Ili tusaidiane lawama inabidi sana uchagua game moja ya do or die kati ya hizi

Milan Win Odd 1.54
au
Dortmund Win Odd 1.45
au
Mamelodi Win Odd 1.54
au
Atletico Win Odd 1.47
au
Simba Win Odd 1.68


Ukijumlisha na timu moja hapo juu ya do or die unapata kuanzia
Odd 3.5 hadi Odd 4

Tia mzigo kisha agiza kinywaji usubiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu baadae

ALWAYS STAKE WHAT YOU CAN AFFORD TO LOSE 🙏
I've already stake what I can able to loose. .
 
Wenye roho ngumu kibelenge cha umeme hicho. Hiki hata umeme ukikatika kinajiswichi kutumia engine ya diesel huwezi kujua ndani. Vituo vitatu vya juu kimeshapita salama bado hivyo vigumu vinavyofanywa.
coupon_58256542841_1443253.png
 

Attachments

  • IMG-20241215-WA0017.jpg
    IMG-20241215-WA0017.jpg
    42.4 KB · Views: 2
Nawakumbusha tu Odd za Simba win zimefika 2+

Simba ana kila sababu ya kushinda hii game ila anakata kata mauno tu uwanjani😡
 
Nawakumbusha tu Odd za Simba win zimefika 2+

Simba ana kila sababu ya kushinda hii game ila anakata kata mauno tu uwanjani[emoji35]
Simba wakiongeza pressure kidogo tu kwenye box wanashinda hii game hawa waarabu hakuna kitu
 
enyimba anachofanyiwa huko malawi sio poa!
3-0 wakati mimi nilimpa handcap 0:2
 
Nawakumbusha tu Odd za Simba win zimefika 2+

Simba ana kila sababu ya kushinda hii game ila anakata kata mauno tu uwanjani😡
Shikamoo Mnyama

Nilijua hela yangu imekwenda 😂
 
Back
Top Bottom