Yanga ana hasira na kutaka kuprove sio kayumba kama Man City😂. Muombe Over 1.5
Odd 1.7
Game ya Benfica timu mwenyeji ni mchovu sana kufunga mzuie kwa Under 1.5
Odd 1.18
ToT vs Man U wana penya sana katikati kutafuta magoli kuliko cross, No headed goal
Odd 1.59
Game ya Chelsea No sending Off(sio No Red Card)
Odd 1.2
Jumla odd 3.6 zenye asilimia kubwa ya kutoa
Tusaidiane lawama kwa kuchagua game moja tu ya direct win kati ya hizi 👇👇
Zamelek Win. Odd 1.96
Inter Win. Odd 1.4
Atletico Luanda Win. Odd 1.46
Ajax Win. Odd 1.26
Ukijumlisha na timu moja hapo juu ya lawama unapata kuanzia
Odd 4 hadi Odd 7+
Tia mzigo kisha agiza kinywaji usubiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu baadae
ALWAYS STAKE WHAT YOU CAN AFFORD TO LOSE 🙏
NB; Natumia 1xbet