Anonymous77
JF-Expert Member
- May 29, 2022
- 589
- 1,515
Naomba uniambie jinsi ya kutoa hela zangu nimejiunga na mpesa nisaidie jinsi ya kuzitoa maana option ya mpesa siioniView attachment 3180715
Code>>> 7DBMM
Tumia Promo Code TIPS2424 Upate 300,000 Ukijiunga Na Kudeposit.
Jisajili PariPesa Hapa π
https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: TIPS2424
BASKETBALL ππ
Paripesa matapeliNaomba uniambie jinsi ya kutoa hela zangu nimejiunga na mpesa nisaidie jinsi ya kuzitoa maana option ya mpesa siioni
Naomba nifahamishwe inakuwaje na mimi ninaa ka hela kangu kazuri tu naomba kujua natoaje kwa mpesa wakuuParipesa matapeli
Una Airtel moneyNaomba nifahamishwe inakuwaje na mimi ninaa ka hela kangu kazuri tu naomba kujua natoaje kwa mpesa wakuu
Hebu njoo WhatsApp tujue tuna fix vipiNaomba nifahamishwe inakuwaje na mimi ninaa ka hela kangu kazuri tu naomba kujua natoaje kwa mpesa wakuu
Hizi Acc zenu za DEMO haziwekwi hata Tax ya kuzugia kuwa ni kweli?View attachment 3180715
Code>>> 7DBMM
Tumia Promo Code TIPS2424 Upate 300,000 Ukijiunga Na Kudeposit.
Jisajili PariPesa Hapa π
https://cutt.ly/hwKXFbXz
https://cutt.ly/hwKXFbXz
Promo Code: TIPS2424
BASKETBALL ππ
Whatsap kufanya nini mkuu?Hebu njoo WhatsApp tujue tuna fix vipi
Atakwambia yeye Huwa ana deposit kwa Bitcoins πNaomba uniambie jinsi ya kutoa hela zangu nimejiunga na mpesa nisaidie jinsi ya kuzitoa maana option ya mpesa siioni
Mkuu wanarekebisha utoaji kwa njia ya M-Pesa, nadhani leo hii Itakuwa poa na utaweza kutoa pesa yako.Naomba uniambie jinsi ya kutoa hela zangu nimejiunga na mpesa nisaidie jinsi ya kuzitoa maana option ya mpesa siioni
Mkuu Paripesa Hawana Kodi. Jaribu kutumia uone.Hizi Acc zenu za DEMO haziwekwi hata Tax ya kuzugia kuwa ni kweli?
BTW kuna mtu kakwama huku njoo umsaidie kutoa hela zake Paripesa
Mkuu nakuelewa sana UCHAMBUZI wakoYanga ana hasira na kutaka kuprove sio kayumba kama Man Cityπ. Muombe Over 1.5
Odd 1.7
Game ya Benfica timu mwenyeji ni mchovu sana kufunga mzuie kwa Under 1.5
Odd 1.18
ToT vs Man U wana penya sana katikati kutafuta magoli kuliko cross, No headed goal
Odd 1.59
Game ya Chelsea No sending Off(sio No Red Card)
Odd 1.2
Jumla odd 3.6 zenye asilimia kubwa ya kutoa
Tusaidiane lawama kwa kuchagua game moja tu ya direct win kati ya hizi ππ
Zamelek Win. Odd 1.96
Inter Win. Odd 1.4
Atletico Luanda Win. Odd 1.46
Ajax Win. Odd 1.26
Ukijumlisha na timu moja hapo juu ya lawama unapata kuanzia
Odd 4 hadi Odd 7+
Tia mzigo kisha agiza kinywaji usubiri maajabu ya matokeo ya mpira ili uje kunishukuru/laumu baadae
ALWAYS STAKE WHAT YOU CAN AFFORD TO LOSE π
NB; Natumia 1xbet
Naomba nifahamishwe inakuwaje na mimi ninaa ka hela kangu kazuri tu naomba kujua natoaje kwa mpesa wakuu
Mkuu watarudisha option ya kutoa kwa M-Pesa kuna marekebisho wanafanya.Nimedepost pesa paripesa alafu sipati option ya kuwithdrawl kwa mpesa jamani eeh msaada nafanyaje kuzitoa hizi pesa
Lakini ni wezi maana serikali haihusiki hapo kama hamna taxMkuu Paripesa Hawana Kodi. Jaribu kutumia uone.
Mkuu hakuna wizi hapo. Mwanzo PariPesa walikuwa wana kodi kwenye kila ushindi. Nadhani waliongea na serikali kodi inalipwa na wao.Lakini ni wezi maana serikali haihusiki hapo kama hamna tax
Dah! Mkuu uko makini sana. Ikabidi nichukue calculator ili nione kweli kama kuna kodi ya 10% imekatwa.Hizi Acc zenu za DEMO haziwekwi hata Tax ya kuzugia kuwa ni kweli?
BTW kuna mtu kakwama huku njoo umsaidie kutoa hela zake Paripesa
Mkuu unakumbuka issue yangu mpaka nilikuja DM kwako? Hao Paripesa utakuwa unajuana nao wewe tu nafikiri. Kuweka hakuna shida tatizo linakuja unapotaka kutoa hiyo pesa yako.Mkuu wanarekebisha utoaji kwa njia ya M-Pesa, nadhani leo hii Itakuwa poa na utaweza kutoa pesa yako.
Kwani huja withdraw mpaka leo?Mkuu unakumbuka issue yangu mpaka nilikuja DM kwako? Hao Paripesa utakuwa unajuana nao wewe tu nafikiri. Kuweka hakuna shida tatizo linakuja unapotaka kutoa hiyo pesa yako.
Ilinichukua kama miezi miwili nikatoa pesa kwa taabu sana na kwa kusuguana mno nikafuta na app ya Paripesa mpaka leoKwani huja withdraw mpaka leo?
Okay na hongera sana kwa kutoa pesa yako na kufuta app.Ilinichukua kama miezi miwili nikatoa pesa kwa taabu sana na kwa kusuguana mno nikafuta na app ya Paripesa mpaka leo