Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Ukibet timu ishinde ina draw au inafungwa
Ukibet gg haitoi kama Chelsea leo
Ukibet corners over inatoa corner 5 tu
Ukibet no team to score three goals in row haitoi kwani kuna timu inaruhusu goli tatu in row kama man leo dhidi ya Bournemouth

Ukibet under 3.5 wanafungana magoli 2-5 kama game ya Liverpool now dhidi ya spurs dk 78
 
Ukibet timu ishinde ina draw au inafungwa
Ukibet gg haitoi kama Chelsea leo
Ukibet corners over inatoa corner 5 tu
Ukibet no team to score three goals in row haitoi kwani kuna timu inaruhusu goli tatu in row kama man leo dhidi ya Bournemouth

Ukibet under 3.5 wanafungana magoli 2-5 kama game ya Liverpool now dhidi ya spurs dk 78
kina chelsea hao,
mikeka yote 3 kachana huyo kilaza!

individual total over 0.5 kachana,.
kona over 8.5 kachana,
overall total over 1.5 kachana!
 
Treni zinadondoka lakini tunaendelea kubetia pesa ya kanji
 

Attachments

  • Screenshot_20241222-223942_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241222-223942_SportyBet.jpg
    142.7 KB · Views: 5
Sema wakuu betting ni hatari sana utrecht kaninyima m7 na alikua anaongoza aisee sikukuu imeniendea vibaya 😢 😭 😢 😭

Mkuu pole sana. Ingawa betting haina fundi lakini kuna vitu vya kushauriana.
Kwa hiyo stake ningekushauri uwe unatafuta odds 1.4 mpaka 2 ambazo unawakilisha unazipata kwenye game 1,2 mpaka 3.
Kutafuta odds hata kama 1.04 kwa game nyingi ni hatari maana nazo zinachangia kama kawaida.
 
Sema wakuu betting ni hatari sana utrecht kaninyima m7 na alikua anaongoza aisee sikukuu imeniendea vibaya 😢 😭 😢 😭

Dah pole mkuu. Sema wew n mwanaume kwel kwel yan umetia m1 me ningepata hyo tu kwenye betting ingekua unyama sana
 
Tuwe tunapost na lost ili tuendelee kujifunza.
Hiyo game ya PSG first half walitoka 0-0 hisia zikanambia weka over 1.5 hazikosi na zinatoa kweli.

Betis 1H lilitokea goli 1 hisia zokaniambia omba goli 1 lingine hawashindwi hawa likatoka kweli.

Juventus hawa 1H tu wakawa 1-2, nikajisemea second Half wanaweza kuleta goli 3 nyingine kama liverpool.
Ili kujilinda niombe goli 1 tu yaani over 3.5.
Baada ya hapo nikaagiza mchemsho wa kuku.
Hii inatufundisha kuwa matokeo ya first half hayaakisi kabisa matokeo ya second half.
Wanaweza kupigana corner 4-5 first half halafu ukajilipua lakini matokeo yake second half zinatoka corner 1-0.
Screenshot_20241223-031932_888starz.jpg
 
IMG_20241223_033644_518.jpg

𝟏𝟓𝟎𝟎𝟎𝟎𝟎 𝐁𝐎𝐎𝐌 ✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅

HONGERA KWA WALIOFUATA 💰💰💰

Haupo Betwinner? Jisajili Hapa 👇

https://cutt.ly/AeS2uw5Z

https://cutt.ly/AeS2uw5Z

Tumia Promo Code 𝐓𝐈𝐏𝐒𝟐𝟒𝟐𝟒 Upate 𝟐𝟓𝟎𝟎𝟎𝟎 Bure Ukideposit.
 
Back
Top Bottom