Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Nipo toka kabla ya haoo ningetaka hela zenu ningeanzisha group telegram
So unapost Won tickets za mikeka ambayo hukuwahi kupost hapa ili iweje!?
Una viashiria vyote vya utapeli, kila lakheri maana wajinga ni wengi, watakufata inbox.
#TAPELI
 
Naomba wakala wa melbet
Screenshot_20241228-130746_WhatsAppBusiness.jpg
 
Betia pesa yakanji
 

Attachments

  • Screenshot_20241228-132200_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241228-132200_SportyBet.jpg
    148.6 KB · Views: 2
  • Screenshot_20241228-132148_SportyBet.jpg
    Screenshot_20241228-132148_SportyBet.jpg
    211.1 KB · Views: 2
Akiweka nishtue, tapeli hilo linavuta watu kwenye 18.
nilikuwa namchora tu eti anapost mikeka ya ku edit maana sijawahi ona pesa iwe ya kodi au ushindi linganifu mfano ushindi au makato ya kodi kuwa labda 14,000 au 240,000 au 85,000 au 25,777 hizi ni namba za mchongo tu tena kwa kampuni inayokata kodi kama betpawa...bora ingekuwa kampuni zisizokata kodi kama paripesa kidogo angeaminika kwa hizo tarakimu za pesa
 
Back
Top Bottom