Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

hii imekaaje najaribu kuwithdraw PARIPESA napata ujumbe kuwa maximu amount ya kuwithdraw ni 264000 per day
 
Huyu falal Levante kashindwa kupata tu goli Moja daah... Na niliweka mshindo aseee.....
 

Attachments

  • Screenshot_20250204-063710.jpg
    265.5 KB · Views: 3
Galatasaray gemu nazani iliuzwa , GG ilikuwa na 1.33 ili watuteke ,
 
Huu moeka ulikuwa na odd 2000 kama sikosei nextime unaharibu kupoteza unaweka lazima na mwingine unaflex
Noma sana ... Nilichagua timu za kushinda shazi...lakini nikawaomba angalau tu ipate goli tukifungwa sawa ukisare sawa ...ila Levante akaona aninyime kibunda....
 
Mikeka yangu hii ilikufa kibudu.

Code ya kwanza mechi moja imechoma

Code ya pili mechi mbili zimechoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…