Jajejijoju
JF-Expert Member
- May 1, 2022
- 447
- 598
Aisee kuna hii thread naona inatuchafua maafisa ubashiri, sababu za jamaa kuleft group zaweza kuwa nyingi.Kijana ajinyonga baada ya kuliwa kwenye kamari
Kijana Baraka Isaya Kapange (23), dereva bajaji mkazi wa mtaa wa Nkuyu Jijini Mbeya amejinyonga jana Februari 9, 2025, ndani kwake baada ya kuliwa pesa kiasi cha shilingi elfu 60 katika mchezo wa kamari na kuacha ujumbe mzito wa kuomba radhi kwa familia, mama yake, mke na mtoto wake. Chanzo...www.jamiiforums.com
Siyo rahisi ndugu, maafisa wanaendelea pambana. Siku kanjibai akiingia king anaumia vibaya.Leo humu pamechangamka kweli,kesho tunaweza kuamkia kwa wakala
Hapo niliwatoa Buyern na Al ahly lakini naona hadi muda huu wanaongoza 😂Hii ni zaidi ya kujitoa muhanda, siyo rahisi kabisa matokeo yote ya mechi 3 yaishe hivi, it is very unlikely.
Bora hata uzipe hizi mechi over 1.5 goals au over 2.5 goals.
Sawasawa mkuu. Yangu simulizi kwa wale wapendao kusoma simulizi za kikwetu Afrika Mashariki. Wewe una ishara asilimia mia za kutopenda kazi za waandishi wetu. Kwa taarifa yako kuna wale wanaopenda kuzisoma kazi hizi zenye hekima💯💯Huku tunapambana wenyewe, peleka yale majukwaa ya wanaotaka serikali iwapambanie.
Mi ngoja kwanza niweke akiba ya maneno japokua nilimfuata Madrid mazimaaa 😳Tunawaambia man city ni mbovu ila kuna watu bado watampa ashinde 😄! Vikosi si mmeviona wenyewe jamani Pale mbele kwa Madrid kuna mbape, Rodrigo na Vini! Leo Man city anaweza asifunge hata goli moja! Beki za akanji na ake sio wa kuwazuia madogo hao watatu wa Madrid! Mpe Madrid 2up mapema unatik mkeka wako leo na Juve mpe win halafu tulia Kolo muani hawezi kutuangusha
Duh,safi kabisa umepata ya supu asubuhiMadrid kashatema mpunga na kazi imeisha kwa leo.
Congrats¡ nigawie ka mtaji mkuuMadrid kashatema mpunga na kazi imeisha kwa leo.