Mkuu mbona helanyingi na Return ni ndogo sana?
Ki ushahuri hiyo Bett hailipi na haishhuriwi kucheza kwani Risk yake ni kubwa sana.
flash disc
toshiba made in philippines with 5 years warranty
4 gb 10000
8 gb 12000
16 gb 22000
32 gb 35000
memory card made in taiwan
2 gb 7000
4 gb 10000
8 gb 12000
16 gb 22000
32 gb 32000
niko dar kama unataka ni pm/sms/call nikuletee mzigo
kokote ulipo dar.
Wa mikoani tunaweza kuangaliaa njia ya kukufikia
0714883861
nb hii ni bei ya rejareja rejareja maana kuna wateja
wangu wa jumla wamenipigia simu wakidhani
nimepandisha bei.
Kwa anaetaka za jumla pia anicheki tufanye biashara
mapembelooo!
Jana kilieleweka?
Dah hyo ya code ya posta nilisha verify ila hiyo ya passport/national id/driver licence ndo ina nisumbua hadi leo maana sina hizi document ila ngoja nijitahidi kutafuta hata driver licence nami nianze kuwalakuverify account , unaverify mara 2,
mara ya kwanza wanakutumia code kwa box/sanduku la posta unalog in unaziingiza, yap walinitumia kwa box
mara ya pili unaverify kwa kuweka ur passport number, yap niliweka number za passport kwa account yangu
if not verified utaweza kucheza tu ila hutaweza withdrwal
Jaman mathematician odd ikiwa na decmal mfn 0.95 hata ukizidisha na milion mia lazma ipungue kwann hawa iplay wanaweka hz odd za mapointpoint? Bora iwe 1.12 ukweka milion unapata lak moja na 20
Jamani leteni moja ya ushindi wa uhakika leo tutupie dau tusubiri.
CC: Biohazard, andybird314 na wadau wote wa kujilipua
mlipukoooooAustralia, sweden,england, ukraine ukiweka 2000 unapata 55000. Za chap chap wale wanao jilipua piga hapo hata laki afu ulale kesho ukiamka unakuta 2.7milion za upesiii najua utakenua meno humu kesho.
jana kilieleweka?
ahasnte mkuu kwa kunifungua nilijiua ni biashara ya kuuza gas kwenye rambo bado kidogo niikimbie hii kampuni ..ngoja nkomae na vdoladolanimekusoma mkuu.....ukiona odds zina sifuri point kitu...labda 0.50...hawajajumuisha dau lako..mfano odd ikiwa 0.50 ukaweka laki moja...unapata 50,000 ila kwenye retuns wanakurudishia dau lako (iyo kilo moja).....kiujumla inarudi 150,000.....so hamna tofauti na odd 1.50 ambayo,nayo italeta 150,000
Mnisaidie jinsi ya kuweka na kutoa pesa ktk kampun ya meridian
mkuu nieleweshe hapo kwenye hizo double..treble..fourfold..fivefofd n.k yaan ukiweka mpunga humo maana yake nini?nimekusoma mkuu.....ukiona odds zina sifuri point kitu...labda 0.50...hawajajumuisha dau lako..mfano odd ikiwa 0.50 ukaweka laki moja...unapata 50,000 ila kwenye retuns wanakurudishia dau lako (iyo kilo moja).....kiujumla inarudi 150,000.....so hamna tofauti na odd 1.50 ambayo,nayo italeta 150,000
Kuweka via M-PESA
*150*00#
-Lipa kwa m-pesa [bonyeza 4]
-Weka namba ya kampuni [bonyeza 4]
-170066 [Ingiza namba ya kampuni hiyo]
-Jina lako au ID akaunti namba [hakikisha jina lako kama ulivyo jaza Meridian au Waweza weka ID akaunti namba yako kutoka Meridian]
-Endelea hadi ushatuma mzingo wako na subiri ndani ya nusu saa mzingo kuingia.
NB: Hakikisha namba yako ya voda ulisajili au kuweka Meridian.
Kutoa via Meridian
-My account
-Deposit/Withdraw
-Withdraw
-Money amount [Jaza kiasi za unazo taka kutoa]
-Select payout [PAYOUT]
-Payout [Vodacom M-PESA]
-Withdraw funds.
Subiri masaa 24 wakutumie mzingo wako..
Pia hapa hakikisha namba yako ya voda ulisajili meridian
Hapo kwenye kuisajili namba yako meridian inakuaje mkuu
Wale mnaobetia meridian mnatumia hii app ya meridian bet au mnatumia browser ya kawaida? Mana hii app km inasumbua net