hao mbet namba yao ya kampuni si ni 3003? Mbona wananbania siku ya 3 sasa daily wanasema kuna tatizo la kiufundi?
Kamkeka kangu kana newcastle,swansea man u na arsenal.
vipi ww c.e.o ushatoa?
dah nilikua nakosea kumbe,wao ndo walikuwa wananipa hiyo namba
newcastle nimekukosea nini?! Daah
Wekeni mpunga mwingi Aves na Penafiel.
mi mgeni kwa vodacom beting ...nikianza na *149*19# then nashindwa kuendelea ...ntupieni maujuzi wakongwe...
Wekeni mpunga mwingi Aves na Penafiel.
Ndio naelekea hivyo,ila nahisi kama Sunderland namnyima leo..
"Nlikuwepo":bolt:
Marseille kaanza kazi huko jamani,kwa tuliompa tupeane taarifa..
"Nlikuwepo":bolt: