Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Leverkusen nae huko maji shingoni leo

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Watu inakuwaje mwaweka Man U mie nishamuacha.
Totternham nae bye bye
 
Watu inakuwaje mwaweka Man U mie nishamuacha.
Totternham nae bye bye

Mie nilishwaacha ila walivyosajili falcao na di maria nikajua business itakubali, kumbe mtihani. NO MORE!! TILL FURTHER NOTICE
 
Network ya Tigo huku ninapokaa inasumbua kweli kweli, Nimejiunga meridian leo baada ya kuona jamaa kashinda kwa red card na penalty.

huku meridian unaangaliaje ticket?
 
Network ya Tigo huku ninapokaa inasumbua kweli kweli, Nimejiunga meridian leo baada ya kuona jamaa kashinda kwa red card na penalty.

huku meridian unaangaliaje ticket?

Ingia kwenye account hafu bonyeza kwenye tiket hafu set tarehe uliyoweka mkeka hafu bonyeza search
 
Ahaaaaaaa! Beeeeeeeee! Wakubwa wameua bendi everton,tot,man u,hawa sitarudia tena! Lakini siachi ni kuwa makini tu wazee wenzangu! Usiku mwema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…