WADAU ME NATAKA KUINGIA KTK ULIMWENGU HUU BT SIELEWE VZURI. M bet nayo najarbu siielewi
So leo nitulie eeeh?
WADAU ME NATAKA KUINGIA KTK ULIMWENGU HUU BT SIELEWE VZURI. M bet nayo najarbu siielewi
Hivi wakuu huyu meridian tunatatua vipi tatizo lake la network error kwa sisi wadau wa online..?
nadhani huyu meridian anafanya makusudi tu kuuminya mtandao wake uwe slow, hili tatizo lilikuwa linajitokeza sana sana siku za weekend sababu ya wingi wa match ila sasa hivi naona ni kila siku!!
Acha uoga ndugu andybird314,,.. mdhungu anasema the only failure is not to try..
Atletico Madrid vs Juventus..... GG
Malmo vs Olympiakos................ Olympiakos
Basel vs Liverpool.......................GG
zenit vs Monaco......................... Zenit
Bayern Leverkusen vs Benifica.....hii sijuwi,
Anderlech vs Borussia Dortmund......Dortmund
Arsenal vs Galatasaray....................Arsenal
kazi kwenu wazee wenzangu, leo biashara italipa.....
mkuu samahani,namba yako ya simu inaishia na 262?naisi nakujua....
Naufuata huu.. who knows
hapana
Mkuu ukituelekeza jinsi ya ku deposit na kutoa pesa Ladbrokes baada ya usajili itakuwa vyema sana, mimi tayari nimesajili nimekwama kwenye deposit na jinsi ya kufanya withdraw maana sitaki kutumia credit card yangu.
Hata mimi tiyari ngoja aje atupe mlolongo mzima
Zenit kaua mikeka kama milioni mia duniani
ukishajiunga unaingiza betcard ni namba flani kama vocha za simu kuna za 10$ 20$ paka 100$ ukishaingiza unaanza kucheza naykishapiga hela unaenda pale new afrika casino unatoampunga wako
Mkuu kwa mfano,nimeweka mkeka wangu na TOTAL STAKE USD ni 0.60 na calculate vipi ili nijue nitapata mpunga kiasi gani kabla sijaweka Dau langu ila nipo Iplay8casino,
Tafadhali mkuu nisaidie