Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

OK mkuu sasa ukiingia kwenye deposit unakuta options 3 hizi hapa chini, ukiclick hiyo ya kwanza inakupa credit na debit options na hiyo pop up hapo chini, sina hakika kama hapa ndio tunajaza hizo info za hiyo bet card voucher, na pia hizo card tunapata wapi mkuu.

ingia kwenye ac yako kwa computer halafu bofya sehemu imeandikwa my account then itakuja window nyingune uta bofya deposite halafu pale kuna combo box chagua sports then utaona ziko optin za $ ambazo utataamua ww umenunua bet card ya bei ganu ukishaingiza zile card number una bofya deposit ni rahisi sana
 
ingia kwenye ac yako kwa computer halafu bofya sehemu imeandikwa my account then itakuja window nyingune uta bofya deposite halafu pale kuna combo box chagua sports then utaona ziko optin za $ ambazo utataamua ww umenunua bet card ya bei ganu ukishaingiza zile card number una bofya deposit ni rahisi sana

kudiposit kwa kutumia simu hua inazingua kiaina ila kubet kwa kutumua simu haina shida
 
Fuc.k Arsenal, how on earth you dare producing a straight red card in a match wakati upo unaongoza nne bila.? Yaani mitimu mingine ipo kwa ajili ya kuudhi watu tuu.

Sheenzi kabisa
 
Nimepitia comment zote huko juu sidhani kama kuna aliyekula.. Duuuhh Mi nimepumzika mpaka mechi za ligi zifike kumi na CL round ya Pili..

Kauli mbiu ni ile ile tulinde mtaji hahaha
 
Nimepitia comment zote huko juu sidhani kama kuna aliyekula.. Duuuhh Mi nimepumzika mpaka mechi za ligi zifike kumi na CL round ya Pili..

Kauli mbiu ni ile ile tulinde mtaji hahaha

siku nzuri za kubet ni ijumaa , jumamosi , jumapili, hizi za katikati ya wiki tunafossiii tu

labda makampuni atakuwa amekula, teh teh teh

makampuni ameambiwa aweke timu 3 kila siku angalau kwa siku 5 au wiki moja nzima, sijaona comment ya Boflo!
 
Last edited by a moderator:
Fuc.k Arsenal, how on earth you dare producing a straight red card in a match wakati upo unaongoza nne bila.? Yaani mitimu mingine ipo kwa ajili ya kuudhi watu tuu.

Sheenzi kabisa

Mimi mwenyewe nilishangaa sana aisee. Anyways tusubirie kesho..,,
 
siku nzuri za kubet ni ijumaa , jumamosi , jumapili, hizi za katikati ya wiki tunafossiii tu

labda makampuni atakuwa amekula, teh teh teh

makampuni ameambiwa aweke timu 3 kila siku angalau kwa siku 5 au wiki moja nzima, sijaona comment ya Boflo!

Makampuni muhuni tu mkuu ahahaha... Kashauriwa akakope billion bank aingize kwenye haka kamcheza then apunguze deni mdogo mdogo
 
Last edited by a moderator:
siku nzuri za kubet ni ijumaa , jumamosi , jumapili, hizi za katikati ya wiki tunafossiii tu

labda makampuni atakuwa amekula, teh teh teh

makampuni ameambiwa aweke timu 3 kila siku angalau kwa siku 5 au wiki moja nzima, sijaona comment ya Boflo!

Ijumaa nitachungulia hata na kabuku 10 cha kutest nyota...
 
Last edited by a moderator:
ingia kwenye ac yako kwa computer halafu bofya sehemu imeandikwa my account then itakuja window nyingune uta bofya deposite halafu pale kuna combo box chagua sports then utaona ziko optin za $ ambazo utataamua ww umenunua bet card ya bei ganu ukishaingiza zile card number una bofya deposit ni rahisi sana

Asante mkuu nimekuelewa vizuri sana nitatumia PC.
 
Habari wakuu, kwa Mwenye experience na kampuni mbali mbali, je ni ipi inatoa points nyingi zaidi ukishinda?
 
meridian wana point nyingi na option nyingi tu.
time langu Liverpool limeninyima hela
 
daaah haka kamtaji kangu kamebaki kanakaribia kukata..natafuta 50000 tu leo naweka 10000..naombeni team za ushindi
 
daaah haka kamtaji kangu kamebaki kanakaribia kukata..natafuta 50000 tu leo naweka 10000..naombeni team za ushindi
Fiorentina, Sparta prague, Dynamo kyiv, Tottenham, Internazionale, Villarreal, celtic, Borrusia M'gladbach, Sevilla

Mkuu possible za leo hizo hapo. Chagua mwenyewe
 
Back
Top Bottom