timu za scandnavia au mashariki ya mbali zikiwa home we zipe tu ushindi au double chance
Mzee mwenzangu roho inasita kutompa Ronaldo! Au hata nimpe draw maana anaweza kuniua muda wowote nikifanya vice versa.
Jamani nani hapa amewahi jiunga na bet365.com?
Mi nipo huko kwa sasa inplay yao iko fast sana meridian anasumhua sana
Jamani nani hapa amewahi jiunga na bet365.com?
Mi nipo huko kwa sasa inplay yao iko fast sana meridian anasumhua sana
Aisee, nitajiunga huko. Ngoja nifanye taratibu za kufungua acc CRDB yenye VISA. Sitaki ichangamane na acc ya mshahara!
nasikia jamaa wapo vizuri ktk odds.
Jamani nani hapa amewahi jiunga na bet365.com?
Mi nipo huko kwa sasa inplay yao iko fast sana meridian anasumhua sana
Iko poa sana,nipo nayo mwaka wa 6 sasa
Iko poa sana,nipo nayo mwaka wa 6 sasa
Iko poa sana,nipo nayo mwaka wa 6 sasa
du? Hahah umetisha
du? Hahah umetisha
Most probable cases kwenye Basketball hizi hapa:-
1. Kuamkia Ijumaa (17 Oct), game ya OKC vs New Orleans weka Over (Points)
2. Denver vs GSW weka over pia usiku huo huo. (Hii unaweza kuwapa GSW +P)
3. Kuamkia Jumamosi (tar 18 ) game ya Dallas na Cleveland weka over. alfajiri
NB; Option 1 na 2 unaweza kuweka hata nyumba (Hapa namaanisha mtaji wote), ila option 2 weka hela ya nyanya.
Pitia hii post ya Mzee Going Concern:-Mzee mwenzangu hizi basket huwa zinachezwaje manake nikita kuzicheza huwa naona maluweluwe tu!
Kuongezea; Mfano game ya Miami na OKC, wanaweza wakasema total points ziwe over/under 200.5, ukichoose over inamaana points zikiwa zaidi yaani 201 ndo unashinda, vivyo hivyo kwa under!</p>Wazee wenzangu, muwe mnacheza Basketball Live in play, ukiwa mjanja ukosi 50,000 kwa siku. Fanya hivi.......usiweke mkeka mpaka mechi ifike quarter ya pili 2/4 then chukua matokeo ya timu zote mbili jumlisha na kisha toa the amount of total then dived by 2 utajua uweke kwenye over/under.... Mfano currently points is Over 160 and its 2/4( second quarter) Real Madrid..... 45 Barcelona........ 40 therefore the total points is 85 (45+40) then chukua 160-85= 75 75 means the total points zilizobaki kufika 160, then chukua 75 gawa kwa 2 (75/2)=37.5 hii inamaana kama vipindi viwili vya mwanzo waliweza kufungana points 45 kwa 40 basi its possible vipindi viwili vya mwisho pia wanaweza fungana zaidi ya 37.5 points, ivyo weka Over 160 odd sio chini ya 1.80. mie kila siku nakula 50,000 nalala.... am trying to share some tricks. (other factors remains constant )
nimewapenda ghafla
Yeah ziko poa sana mkuu.
Nimejiunga leo