Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazee wenzangu hiki kilinge nawaachia kwa muda, jana network ilinigomea kuweka mkeka wangu ila ikanisaidia kwa sababu Arsenal angeuchana!
Napumzika kwanza, nikirudi ni full force.
Najua mpaka umbiwe wa lugha yenu!haya kucheza korokoro la kisasa!Ngoja nisepe manake hapa hata sijui kinazungumziwa kitu gani.
Juve jana kanitoa mtaji wangu wa dollar 201 shenzi sana yule
Wazee wenzangu hiki kilinge nawaachia kwa muda, jana network ilinigomea kuweka mkeka wangu ila ikanisaidia kwa sababu Arsenal angeuchana!
Napumzika kwanza, nikirudi ni full force.
Jana nliweka 1000 nkala 32800....
Chelsea win&3+
newcastle win
Westham win
Everton win
Soton win...
Hajahaha mkuu vipi tena?? We si ulitangaza vita na muhindi, ama zake ama zako, mbona unamkimbia sasa haha
Hajahaha mkuu vipi tena?? We si ulitangaza vita na muhindi, ama zake ama zako, mbona unamkimbia sasa haha
Nimegundua Muhindi ana Jet mi natumia Helcopta za kawaida, nahitaji mtaji mkubwa ili niwe nakula kidogo kidogo hadi zifike nyingi. Utaratibu wa kutafuta 200,000/- kwa kuweka 10,000 ni wa kibahati sana sana.
Ila ukiwa na M2 kwenye account, kupata hata laki 4 mpaka 5 kwa wiki inawezekana. Napigia hesabu ya business yenye return ya 25%.
Kuna timu saa hizi nimeshazisoma ni za kutengenezea hela, Chelsea, Barca, Real Maldrid, Roma na kwa mbali Munic! Hizi siku zikikunyima hela ni bahati mbaya sana, so nikibet mbili kati ya hizo nikazipa laki 5 sikosi laki 3!
Mtaji wote kala, hapa naugulia na hiyo ni kauli ya kushindwa. Ila ninapumzika kwa muda usiojulikana.
leo nimewapa Marseille,cruzeiro,liva,bordeaux,valencia na atletico madrid.....tayari Marseille,athletico na liva washashinda....nimeweka 4000 nipate 75000