Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Yaani leo nawaangalia tu, maana sina mtaji wa kutupia. Ila game ya Brazil inavutia kwa 2-2&3+ odd ya 2.65
england anacheza na scotland, yani hapo ni sawa tanzania bara vs zanzibar, huwa panachimbika japo england mara nyingi huwa anashinda, lakini madogo huwa wanakamia gemu haswaa.England vipi hapo
MEXICO 2&3+ ...2.91..... dah.....
england anacheza na scotland, yani hapo ni sawa tanzania bara vs zanzibar, huwa panachimbika japo england mara nyingi huwa anashinda, lakini madogo huwa wanakamia gemu haswaa.
kwa mtindo huo pesa hii hapaDawa ni mikeka ya timu mbili mbili tu, mmoja ukichanwa mwingine unalinda.
Sidhani kama watakataaa ila wanao uwezo wa kutokukulipa hata kama umeshindamfano...nikatip kama leo
FRANCE WIN 1.42
ITALY WIN 1.5
UKRAINE WIN 1.4
BRAZIL WIN 1.4
MEXICO WIN 1.67
TOTAL ODDS 6.97
..... NKAWEKA 1000 MWINGINE 10000 MWINGINE 20000 .....na mkeka ukashinda... JE, itakuwa ni copied bet ambayo wanauwezo wakuifanya void.......
wakuu hela ipo hapa...nipeni ujanja
urenovs argentina
spain vs german
romania vs denmark
RAIS wa MARSEILLE KAKAMATWA KWA MATCH FIXING NA KUMNUNUA GIGNAC KIMAGENDO 2010.... CAEN NA BAADHI YA TIMU ZA FRENCH LEGUE TWO PIA WANACHUNGUZWA KWA MECH FIXING.... NA UCHUNGUZI UNAFANYIKA MECHI YA GREECE VS FAROE ISLANDS.... AMBAPO GREECE ALIFUNGWA 1-0.... mazeeee ulaya kimenuka match fixing zimekuwa nyingi sana..... weekend hii ufaransa kunaweza kusiwe na match..... UGERUMAN ...UBELGIJI NA UHOLANZI ZANYOOSHEWA KIDOLE...wanafungana sana magoli mepesi... italia hali ya mechi fixing imepungua baada vifungo vya JUVE NA AC ..... dah..... kumbe tunaliwaga kiajabuajabu....kumbe wanatuchezesha hawa maboya..... KAMPUNI ZA BETTING zinapigiwa chapuo zisimiliki au kudhamini vilabu vya soka....... ENGLAND IMESIFIWA KWA KUPITISHA SHERIA AMBAYO MTU YEYOTE ANAYEJIHUSISHA NA SOKA AWE KIONGOZI MCHEZAJI REFARII DOKTA WA TIMU KATIKA MADARAJA MATANO YA ENGLAND(PREMIER..CHAMPIONSHIP...LEAGUE 1... LEAGUE 2.... NA CONFERENCE PREMIER) ...HAWARUHUSIWI KUBET...UKIKAMATWA UMEJIFUTA MAISHA.......
greece wajinga sana walinichania mkeka hii game bora wafungiwe
barca na celta vigo....real madrid na sociedad..... Nazo kwenye blogs na forum nyingi sana wanapiga kelele nazo zilifixiwa.....
barca na celta vigo....real madrid na sociedad..... Nazo kwenye blogs na forum nyingi sana wanapiga kelele nazo zilifixiwa.....
hao maseile ni nowma sana kwa michezo hiyo ndo maana walishushwa daraja 93' na kunyanganywa uefa title
marseille wana controliwa na kundi la MARSEILLE MAFIAS ambao ni hatari sana kwenye hii michezo ya kamari ..kama ilivyo italy SICILIAN MAFIAS kundi kubwa sana la kimafia duniani....lonaushawishi sana kwenye vilabu vya NAPOLI FIORENTINA NA SAMPDORIA.... ila wakiamua kufix wanafix tu timu yeyote.....
Ndo nlikuwa naongelea hii jumamosi...kuna jamaa anakupa match unalipa baada.ndo alinipa hint nkakosa milion na laki saba
ureno v argentina GG
Spain v germany GG
romanis v denmark 28+