Dortmund mpe 2-2, hii game atarudisha matumaini ya watu.
Dortmund mpe 2-2, hii game atarudisha matumaini ya watu.
Kweli saa zingine huwa haiendi kama utakavyo yaani stoke daaaah umeniachia unasikini wa hali ya juu kabisa
raimundo hii game uliichungulia kwa babu?
Man City, Westham msiniangushe jamani. Nawaaminia.
Ndugu leo hukuchungulia kwenye zile prediction za kulipia?
Yaaaani leo😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍👍
What a day yaaani na dnipro angeshinda ndio ingekuwa 👍👍👍👍👍👍👍👍zaid
Hongereni mliopiga pesa leo, mimi leo nilipumzika, halafu wale wa tips, kuna hii site ya bettingexpert.com, nimefuatilia nimeona tips zao za ukweli sana, 99% kwa tips nilizozifuatilia naona zimetick.
Wadau kuna anayeitumia hii site kutafutia tips.?
mkeka wangu huo ; newcastle, stock; leverkuzen, Roma, lyon, wolfsburg, juve, R.sociedad, na monaco. nasubiria mpunga m. 3.2