Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,936
- 4,707
Jamani inakuwaje nimelipia kwa mpesa na ujumbe umerudi kuwa nimefanikiwa kulipia meridia..lakini nikiingia kwenye account yangu meridian salio silioni msaada tafadhali
Miami kapewa 3 na Brooklyn.. daah nimemfata hivohivo lama kufa wacha nife tu
Dah Southampton!
Miam yupo vzur sn cjui kwann alimdharau HV kashinda game 1st half 45-55
Baada ya kubet
Beryern munich HW2
Real Madrid AW2
Nikaamua salio la kuchezea basket usiku niliweke loooote kwa
Huyu mshenzi pichani
hawa wa m bet wa voda wezi tu, jana nimebet mpaka sasa sioni salio wala nini heti ndani ya masaa 24, unawapigia simu wanaongelea puani
hawa wa m bet wa voda wezi tu, jana nimebet mpaka sasa sioni salio wala nini heti ndani ya masaa 24, unawapigia simu wanaongelea puani
Kuwa na subira. Au ndio mara yako ya kwanza kubet kwao?
Hawa hawana shda subr tu watakutumia.
Baada ya kubet
Beryern munich HW2
Real Madrid AW2
Nikaamua salio la kuchezea basket usiku niliweke loooote kwa
Huyu mshenzi pichani