Dragondreamx
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 564
- 215
mzeee jana kanila mtaji woooote 50000 cash..
nilitupia mkeka humu asubuhiiiii....nilikua nasafiri kuja DAR..... nkabet asubuhi kabisa...nkatupia humu
KAIZER CHIEFS
SOUTHAMPTON
CHELSEA
....sikuangalia matokeo mpaka nafiia dar saa5 ..usiku.... .nkakuta kaizer kawin ..chelsea anaongoza kuja kwa soton duh..... bila bila halftime....kucheki kikosi..... NKAKOMET HUKU SOTON ANATUUA
sasa leo nkipigwa jamani likizo rasmi
LEVERKUSEN WIN
SCHALKE 04 WIN
LIVERPOOL WIN
ODDS 9.7
tatizo niliwapigia simu nawauliza vipi wananiambia mechi uliyobeti umeshindwa wakati mimi ndio nimebeti na matokeo nimeshinda nikashangaa sana
Swali:meridian ukishinda online live bet..hela unaipataje kwenye account?..maana niliweka yote sasa nataka nibet gamezingine live salio halionekan.
mzeee jana kanila mtaji woooote 50000 cash..
nilitupia mkeka humu asubuhiiiii....nilikua nasafiri kuja DAR..... nkabet asubuhi kabisa...nkatupia humu
KAIZER CHIEFS
SOUTHAMPTON
CHELSEA
....sikuangalia matokeo mpaka nafiia dar saa5 ..usiku.... .nkakuta kaizer kawin ..chelsea anaongoza kuja kwa soton duh..... bila bila halftime....kucheki kikosi..... NKAKOMET HUKU SOTON ANATUUA
sasa leo nkipigwa jamani likizo rasmi
LEVERKUSEN WIN
SCHALKE 04 WIN
LIVERPOOL WIN
ODDS 9.7
matokeo yabaki hivihivi...nirudishe 50 yangu.....
Wadau za asubuhi,eti life span ya mkeka wa meridian-hasa shoppers ni muda gani?
Wadau nina mikeka 2 ya elf 96 jana nilimuweka brazil ( w) vs china (w) nikampa brazil odd ya 1.37 Against 8.sasa jana game iwehairishwa inacheza leo.naombeni ushauri niisubiri hi game nilambe elf 96 au niipotezee nikachukue elf 48