Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


Bursaspor A2+
Inter baku H2+
Real siciedad H2+
Tia mzigo
 
Leverkusen
Liverpool
Shalke
Anderletch
Fc Brugge
Toternham
 
Mkuu wala usiwe na wasi wasi, hao MBET wapo makini, lazima wakutumie mpunga wako, sema mimi hivi karibuni wamekula hela yangu nyingi tuu *****, nauwawa na tim moja moja. Daaaah!!
 
tatizo niliwapigia simu nawauliza vipi wananiambia mechi uliyobeti umeshindwa wakati mimi ndio nimebeti na matokeo nimeshinda nikashangaa sana

kama umepatia utalipwa kama umekosea ndoumeliwa yaan hao hawana shda
 
Swali:meridian ukishinda online live bet..hela unaipataje kwenye account?..maana niliweka yote sasa nataka nibet gamezingine live salio halionekan.
 
nashukuru jana kamtaji nilipata leo nimetupia kama ifuatavyo:
CERCLE BRUGGE WIN
BOR-MONCHENGLABACH WIN
OLYMPIAKOS PIRAEUS WIN
CHAVES WIN
PSG WIN
PANTHRAKIKOS WIN
LIVERPOOL WIN.TSH 300,861/= NDO NASUBIRIA.
 
Tsh 66,922/=
veria win
borussio dortmund win
olympiakospiraeus win
schalke win
eibar win
worcester utd win.
 
Kamkeka ka harakaharaka
supersport utd win
black aces win
orlando pirates win.
 
B-) tujaribu hii
 

Attachments

  • 1418844634464.jpg
    40.3 KB · Views: 144

matokeo yabaki hivihivi...nirudishe 50 yangu.....
 
Wadau za asubuhi,eti life span ya mkeka wa meridian-hasa shoppers ni muda gani?
 
wakuu kwenye DSTV channel gani inaonyesha NBA....?msaada tafadhali
 
Leo timu 5 tu, weka hata gari, Besiktas win, Trabzonspor win, zamalek win, napoli win, ajax win
 
Wadau nina mikeka 2 ya elf 96 jana nilimuweka brazil ( w) vs china (w) nikampa brazil odd ya 1.37 Against 8.sasa jana game iwehairishwa inacheza leo.naombeni ushauri niisubiri hi game nilambe elf 96 au niipotezee nikachukue elf 48
 
Wadau nina mikeka 2 ya elf 96 jana nilimuweka brazil ( w) vs china (w) nikampa brazil odd ya 1.37 Against 8.sasa jana game iwehairishwa inacheza leo.naombeni ushauri niisubiri hi game nilambe elf 96 au niipotezee nikachukue elf 48

Bora kupata kidogo kukiko kukosa kabisa. Kafate hela yako mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…