Jaman naombeni msaada wenu mi ni mgen kwenye masuala ya kubet lkn napenda sana kujihusisha nayo,nimejaribu kujiunga kwenye m-bet mpaka hatua ya mwisho ila nikashindwa kwny kumbukumbu namba,sasa naombeni msaada wanu jamani.
Na kama kuna betting zingine mnielekeze jaman napenda sana hayo mambo.
Wadau nina mikeka 2 ya elf 96 jana nilimuweka brazil ( w) vs china (w) nikampa brazil odd ya 1.37 Against 8.sasa jana game iwehairishwa inacheza leo.naombeni ushauri niisubiri hi game nilambe elf 96 au niipotezee nikachukue elf 48
Wadau za asubuhi,eti life span ya mkeka wa meridian-hasa shoppers ni muda gani?
KUNA TICKET NILIWAHI KAA NAYO TAKRIBAN MIEZ MBILI NA NIKAPEWA HELA....
na sasa ivi niko tikiti ya 27 nov 2014
Na subiri game ya derby ya mwezi wa pili mwakani nipige 378000
Ngoja nitest
Mechi ya Atletical umeiweka ina odds ya 1.01, ni bora usiiweke timu yenye odds za hivi kwa sababu ukiitoa unapata returns zile zile wakati inaweza kukupotezea mkeka.
Karibu sana.
Asante kwa ushahuri maana wengine ndiyo tunaanza
[TABLE="class: lay1, width: 610"]Leo timu 5 tu, weka hata gari, Besiktas win, Trabzonspor win, zamalek win, napoli win, ajax win
[TABLE="class: lay1, width: 610"]
[TR="class: match status_5 livegame ft LId_37811 KId_71 tv"]
[TD="class: status alt, align: center"]FT[/TD]
[TD="class: home, align: right"]Trabzonspor
[/TD]
[TD="class: result, align: center"]0-0 (0-0)[/TD]
[TD="class: guest"]Akhisar Bld.
[/TD]
[TD="class: info, bgcolor: #E1E6D2"][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
niliweka vogue nipate hummer kama ulivyonishauri....
..atakae kula tuonane paleee,.toroka uje pub.
mkuundugu umebakiza sochaux na napoli...leo mi mtazamaji.....siku hizi principle nikila mkeka....natulia siku inayofata..... hesabu zangu ni faida iwe 10000 kwa siku....bhaaaasi
Trabzonspor katoa droo