Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Angalizo, usicheze mchezo usioujua vizuri! Pia usiweke kiasi ambacho ukiliwa kitaathiri bajeti yako. Do it for fun, Mhindi haliwi.
Sikati tamaa leo au kesho, lazima mhindi afe siku moja huu mwaka lazima tuchukue zaidi ya zile za escrow
Yaani kwa kweli ..wengine bahati zetu zipo mbinguni,,,tufe tu.....nimekuwa very versatile (nabadilika badilika ) lakini wapi.... nimecheza AMERICAN FOOTBAL KAUA MMOJA... NIMECHEZA KIKAPU NIMEPIGWA...NIMERUDI SOKA... 28+ SPORTING ANAFUNGA DAKIKA YA 5 anaua mkeka....afu alibaki peke yake...aseeeeeView attachment 214898View attachment 214899View attachment 214900
Huyu Romaa mmmmmh
Roma anaweza asiwe tatizo..
Dah hali ngumu aisee. Ila nimegundua kuwa tamaa zrtu za kumwaga mikeka mingi ndo tatizo.
Tafuta dolar mia unacheza mara moja kwa weeek, laki unacheza mara moja kwa wiki baaasi