Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

yani ninamaanisha kuwa hiyo buku kumi sio kwamba naitumia yote itakuwa naweka 100 paka iishe nadhani nitakuwa master
 
Mkuu Raimundo jana niliamka na 20 mpaka naenda kulala nilikua na kitu kama 130.. Tamaa nikatie 50 kwa vilaza flani wa tenisi, hao ndio wakanipunguzia faida. Mwendo ni wa Basketball tu sasa mpira nimewaachia wengine. Mimi nikikuta hata mechi ya Congo basketball naweka tu..

Tamaa zinaponza sana, mi najiwekeaga mpango wa kucheza game 1 1! Lakini baadae nakiuka na ndipo napopigwaga za uso.
 
Ukitaka kuusoma mchezo anza kuweka shilling 100 uki'assume hiyo ni buku 10. Then njoo na majibu.. Ushauri bet kwenye over/under kwa Total Points au Quarter Points.. Bear in mind, kabla hujabet angalia kwanza trend ya first quarter.. Mara nyingi kama sio zote First Quarter inakuaga na magoli mengi zaidi ya Second Qarter na Third Quarter inakuwa na magoli machache dhidi ya Fourth Quarter. Pesa bwelele hapo
We jamaa maneno yako kama vile umetumwa na Mhindi kumfanyia marketing!
 
hahahaha mkuu changamkia fursa... nakumbuka uliweka ahadi ya kumfilisi muhindi

Jamaa mbaya kinoma, nasua sua kweli, ila anakaribia kuingia kwenye anga zangu!

Naona NBA under na over total points ndio kidogo naweza kutokea! Natafuta mtaji kama 2m, nizitenge kwa laki tano tano, nakuwa naangalia upepo, siku nikiona game ambayo naielewa natupia laki 5 kwa odds ya 1.78-1.85! Nikila naitoa, nasubiria siku nyingine tena.

Nikicheza kwa wiki mara 3, nafanya assumption ya kupatia 2 na kukosa 1, nakula laki nane/tisa naliwa laki 5. Nikipiga faida ya laki 3 mpaka nne kwa wiki si haba.

Na hii inawezekana tu ikiwa nitaacha uroho wa kutafuta odds nyingi.

Mtaji ukiongezeka nacheza milion milion.
 
Jamaa mbaya kinoma, nasua sua kweli, ila anakaribia kuingia kwenye anga zangu!

Naona NBA under na over total points ndio kidogo naweza kutokea! Natafuta mtaji kama 2m, nizitenge kwa laki tano tano, nakuwa naangalia upepo, siku nikiona game ambayo naielewa natupia laki 5 kwa odds ya 1.78-1.85! Nikila naitoa, nasubiria siku nyingine tena.

Nikicheza kwa wiki mara 3, nafanya assumption ya kupatia 2 na kukosa 1, nakula laki nane/tisa naliwa laki 5. Nikipiga faida ya laki 3 mpaka nne kwa wiki si haba.

Na hii inawezekana tu ikiwa nitaacha uroho wa kutafuta odds nyingi.

Mtaji ukiongezeka nacheza milion milion.

Hizi game zina faida kama unaweka pesa nyingi kwa mechi kadhaa.. Kama niliweza kuanza na 20 saa 11 asubuhi then saa 4 usiku nikawa na 130 ina maana ningekuwa nimeanza na laki 2 ningelala na 1.3M.. Million 2 ningelala na 13M.. Daaah siku ndio ukipigwa hiyo 2M unaweza kujikuta Ocean Road
 
Hizi game zina faida kama unaweka pesa nyingi kwa mechi kadhaa.. Kama niliweza kuanza na 20 saa 11 asubuhi then saa 4 usiku nikawa na 130 ina maana ningekuwa nimeanza na laki 2 ningelala na 1.3M.. Million 2 ningelala na 13M.. Daaah siku ndio ukipigwa hiyo 2M unaweza kujikuta Ocean Road

Ha ha ha! Hizo hesabu ni za nadharia mkuu, kwa sababu kadri hela inavyokuwa kubwa ndiyo risk ya kupoteza inakuwa kubwa maana unaogopa ogopa mpaka unakosea.
 
Hizi game zina faida kama unaweka pesa nyingi kwa mechi kadhaa.. Kama niliweza kuanza na 20 saa 11 asubuhi then saa 4 usiku nikawa na 130 ina maana ningekuwa nimeanza na laki 2 ningelala na 1.3M.. Million 2 ningelala na 13M.. Daaah siku ndio ukipigwa hiyo 2M unaweza kujikuta Ocean Road

Mkuu hyo buku 20 ulikuwa unachezea mchezo gan na option zipi ?
 
Nyie mlio mtandikia mkeka huyu kigogo .....
 

Attachments

  • 1420912701479.jpg
    1420912701479.jpg
    14.3 KB · Views: 142
Dah nitakuwa nacheza game mmoja moja tu tena kwa laki. Maana mikeka inauawa tena mapema
 
wa mwisho leo.betis win valencia win na porto win .nirudishe mtaji.
 
Wazee wenzangu, muwe mnacheza Basketball Live in play, ukiwa mjanja ukosi 50,000 kwa siku.
Fanya hivi.......usiweke mkeka mpaka mechi ifike quarter ya pili 2/4 then chukua matokeo ya timu zote mbili jumlisha na kisha toa the amount of total then dived by 2 utajua uweke kwenye over/under....

Mfano
currently points is Over 160 and its 2/4( second quarter)
Real Madrid..... 45
Barcelona........ 40

therefore the total points is 85 (45+40)

then chukua 160-85= 75

75 means the total points zilizobaki kufika 160, then chukua 75 gawa kwa 2 (75/2)=37.5 hii inamaana kama vipindi viwili vya mwanzo waliweza kufungana points 45 kwa 40 basi its possible vipindi viwili vya mwisho pia wanaweza fungana zaidi ya 37.5 points, ivyo weka Over 160 odd sio chini ya 1.80. mie kila siku nakula 50,000 nalala.... am trying to share some tricks. (other factors remains constant )

Sasa hii over au under nabetia kwenye quarter 4/4 au vp
 
Back
Top Bottom