Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Yeah it is true mkuu kuna mshkaji wangu anayo picha ya huo mkeka uliotoa 18m. Jamaa alitupia buku 20 ukaleta mavuno Hayo. Ngoja nitamwambie anirushie niulete humu. So usikate tamaa one day utampiga muhindi

Aisee am impressed.. Mi sijawahi bet but nataka nijifunze nianze.. I hope ni naweza bet online au mpaka niende physically kununua ticket?
 
Aisee am impressed.. Mi sijawahi bet but nataka nijifunze nianze.. I hope ni naweza bet online au mpaka niende physically kununua ticket?

Online za bongo kama m~bet wana limit ya kupata mkwanja. Mwisho wao ni 3m. Hii ya kwenda physical ni poa maana utaweza ukapa hadi 40m ikiwa ni siku yako. Ila sijui online za njee. Na swala jingine kumbuka ukifanya online betting za nje ukapata hela nyingi ishu inakuja kuziingiza bongo kidogo hua inasumbua maana mfumo wetu wa kibenk unabana kidogo.
 

Thanks, nataka nianze na online betting za hapa Bongo kwanza maana ninasafiri muda mwingi so naona hii ni convinient kwangu, nikitulia nitaenda physically.. Kwa hiyo kama nikishinda Wananitumia hela kwa njia gani?
 
Thanks, nataka nianze na online betting za hapa Bongo kwanza maana ninasafiri muda mwingi so naona hii ni convinient kwangu, nikitulia nitaenda physically.. Kwa hiyo kama nikishinda Wananitumia hela kwa njia gani?

Kwa mfano m~bet hua wanatuma kwa njia ya mpesa kwa kupitia namba uliolipia nayo. Mfano kama leo ukishinda wanatakutumia pesa yako kesho kati ya saa nne asubui hadi saa kumi jion.
 
Thanks, nataka nianze na online betting za hapa Bongo kwanza maana ninasafiri muda mwingi so naona hii ni convinient kwangu, nikitulia nitaenda physically.. Kwa hiyo kama nikishinda Wananitumia hela kwa njia gani?

kama ni online tumia www.meridian.co.tz ina iption nyingi za kubet kuliko m-bet
 
Hii vipi leo;
granada win
lyon win
juventus win
sampdoria win
ajax armsterdam win
 
Hii vipi leo;
granada win
lyon win
juventus win
sampdoria win
ajax armsterdam win

leo prediction Zipo hivi

A. Villa vs Bournemouth...draw(1-1)
Brighton vs. Arsenal (1-3)
Bristol city vs. West
Ham...(1-2)
Lyon vs. Metz.. ( 3-0)
Reims vs. Lens..(0-1)/away wins
St Etienne vs PSG (2-1)/ home win
Juve vs. Chievo... ( 4-1)/(3-0)
Fiorentina vs. Roma (1-1)/any draw
Inter vs. Torino...(2-0)
Ajax vs Feyenoord...(2-2)/ draw ya magoli
Valencia vs. Sevilla (1-1)/draw ya magoli
Espanyol vs. Almeria..(1-0)
Bilbao vs. Malaga..(1-0)
Deportivo vs Granada..(1-0)
Standard Liege vs. Anderlecht.. ( 2-2)/draw ya magoli
Cerce Brugge vs. Club Brugge...(0-3)/(0-2)
Sporting Lisbon vs. Academica...(3-0)
Boavista vs Braga ..(0-2)
Maritimo vs. Fc Porto (0-2)/(0-3)
Nb: hii ni prediction niloikusanya toka vyanzo mbalimbali, utathimini then changanya na za kwako halafu fanya maamuzi yako unayona ni sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…