Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
Sijui tutumie mbinu gani maaana hizi timu zazingua kichizi yaani ni zaidi ya uchizi wenyewe
M-bet au meridian bet? Coz ni kampuni mbili tofauti.
mkuu kuanzia siku ya alhamisi, kama unatumia meridian bet, huwa wanatoa fixture kuanzia friday mpaka monday.
Je kwa mbinu hii mtu huwezi changanya timu angalau ukusanye odds 100 then ukatie 3000 na ukala?..
Hapa huwa naumiza kichwa inawezaekanaje majeshi yote kuanzia friday to sunday yazingue?.. dah
cc Deo Corleone Raimundo MNYISANZU jem_the_great Rockcity native na wengineo kwa maoni zaidi na ushauri.
Huyu jamaa kweli hawezi pangika kwa kila wiki angalau aliwe 300k? dah nina hamu nae kishenzi...
Gambling haina formula kaka! Unaweza kusuka mkeka hata wa 2 weeks kwa Meridianbet na bado ukachanika tu.
Bila kujalisha ni timu gani inacheza na ipi, ni sawa na kurusha shilingi ije kichwa au mkia.
Ni kujaribu bahati.
mkuu naomba experience kutoka kwako. Je ukiwa unatengeneza odds kuna vitu gani huwa unavizingatia hasa katika choice na selection za timu?
Je ni ligi gani unapenda kuzibetia sana?
Maximum odds wewe huwa unafikisha ngapi ili kujiwekea uhakika wa kula?
Mkuu naomba experience kutoka kwako.
nb: wengine vile vile mnaweza kushusha ideas hapa.
Aisee, nikushauri ujaribu kupitia thread hii ikibidi kuanzia page kama ya 400 au 450, soma page zisizopungua 120/150, kuna views kibao za wadau humu.
Nachelea kusema sina uhakika kwa sababu mimi mpira nimestop kucheza, kila nikijaribu formula hii inagoma.
Nimebaki nacheza basket tu, tena NBA, South Korea na Russia, basi.
asante sana mkuu. nimepitia fixture za basket nikakuta odds nazo ni ndogo ndogo mkuu. Ntafuatilia nijue zaidi.
leo nimeweka man u win pamoja na galatasaray win .vipi wadau?
leo nimeweka man u win pamoja na galatasaray win .vipi wadau?
Wazee nipeni mkeka nina buk tatu hapa..