yakub yusuf
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 319
- 86
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yakub yusuf leta makitu ya leo mkuu.
Yan hlo ndio balaa zaid hii n kamal tu huyo tajr anaweza kuweka timu 1 kwa milion na akaliwa na we mwenye timu10 mkeka m1 ukatusua fresh tu
Kuna kitu sijakuelewa katika hii thread , sidhani kama ni busara mtu kuja kutoa matokeo kama amewin bet.
Itakua ni vizuri sana watu wakipost mikeka yao b4 match ili name wengine wapate mawazo. Ukija na style anti Jana nimekula kwa mhindi haimake sense ni bora uka kaa kimya. Nasema hivyo sababu wengi wetu humu tunaweza kuwa name mtaji ila muda wa kufanya analysis unakosekana.
Please wekeni mikeka ili thread ikue.
Me nilikuwa naweka nikaishia kupondwa
Mhhh! nina mashaka na unachokisema.
View attachment 227796
haka kamfumo ni kazuri ila ni hatari....kazuri sababu mechi nyingi kipindi cha kwanza zinakuwa ngumu....hatari coz mtu akipigwa ndani ya dakika 15 za kwanza goli la pili mara nyingi linapatikana....
Kuna kitu sijakuelewa katika hii thread , sidhani kama ni busara mtu kuja kutoa matokeo kama amewin bet.
Itakua ni vizuri sana watu wakipost mikeka yao b4 match ili name wengine wapate mawazo. Ukija na style anti Jana nimekula kwa mhindi haimake sense ni bora uka kaa kimya. Nasema hivyo sababu wengi wetu humu tunaweza kuwa name mtaji ila muda wa kufanya analysis unakosekana.
Please wekeni mikeka ili thread ikue.
View attachment 227796
haka kamfumo ni kazuri ila ni hatari....kazuri sababu mechi nyingi kipindi cha kwanza zinakuwa ngumu....hatari coz mtu akipigwa ndani ya dakika 15 za kwanza goli la pili mara nyingi linapatikana....
mkuu nimecapture sehemu ndogo....ningecapture mpaka chini.....ungeona mda..... huu nimeucheza saa7 na dakika 7 usiku.....mara zote nawekaga mkuu...... kutoka na mda niliocheza ilikua ngumu kuupostoyooo mhindi kafa .. ila mtoto wa nzi ungeutoa mkeka mapema kabla haujashinda tungemla wote.....otherwise hongerA mkuu
