Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo


karibu kilingeni mkuu.. 2meshaeleza sana tofaut ya normal na handcap ila kwa faida ya wageni ni kwmba handcap timu ambayo inaonekana dhaifu ktk game husika hupewa goli mfano game ya evaton na asnal timu iliyopewa goli ilikua arsenal. Kwamana hyo evaton ilitakiwa kushnda tofauti ya goli 2 na kuendlea kuwa win, kama ingeshnda tofauti ya goli 1 ingekua handcap draw
 
Brentford,Concord Rangers,Wigan,Alfreton,Salisbury nyongeza (Altrincham) Double Chance Zote....
 
Real kanimaliza hamu sina kabisa. Ngoja nistaafu kwa muda
 
Ila jana real wameniudhi sana.
Siachi ngoja niendelee
 
J3 niliweka Tottenham jana nikaweka Chelsea leo sasa faida na mtaji woooooote (€45) naweka kwa Barca na game siicheki mtanipa matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…