xyz123
Ukisharegister watakutumia email kwenye hiyo email ina link ambayo watakiwa ibonyeza ili uweze kuwa activated.
Kuhusu kuweka hela wana vibanda vyao kariakoo mtaa wa msimbazi karibu na kituo cha police.
Magomeni wana kituo, buguruni.
Huko ndio waenda na kudeposit pesa yako. Hata ukitaka kutoa pia waenda huko huko. Magomeni mapipa kipo karibu na stend ya BRT.
Utakuta kimeandikwa Meridian betting.
Leo nimeweka handcap kwa
Sparta prague
Dinamo zagreb
Real Madrid
Mainz 05
Zenit petersburg
xyz123
Under ina maanisha magoli chini ya mfano under 4.5 inamaanisha magoli jumla yasizidi matano.
Over inamaanisha magoli zaidi ya mfano over 4.5 inamaanisha magoli yawe kuanzia 5 na kuendelea chini ya hapo kilio chako.
Email angalia tena mimi walinitumia au ukute ulikosea email maana kwenye email ndo wanakupa account number
mkuu multbet ya meridian wanatuibia, jaribu bet365.comNgoja ifike mchana nibet 10 afu nichague multibet ya 4/10 meridian
Bet365 sina visa card ya tz hivyo ngoja niendelee tumia hii hii meridian hadi hapo nitapopewa visa ya tz
Ukisha fungua account utanistua nikupe number ya dada yupo pale new afrika cassino utanunua bet card zipo za dola kumi, ishirini na kuendelea then utadeposite then utaanza kubet
Karibuni tuinvest katika soko la hisa la betting... Iwe meridian,m-bet,ladbrokerz, iplay8casino n.k.
nenda abc bank, wapo kariakoo baada ya baharesa faya, wanakupa visacard in 5 minutes, just go na kitambulisho chako tu.Bet365 sina visa card ya tz hivyo ngoja niendelee tumia hii hii meridian hadi hapo nitapopewa visa ya tz
zenit na real wana odds ndogo
wakuu kwenye kubet kuna pesa za bure yani za kuchota, uache tamaa tu ya kuweka timu nyingi, kuwa na maximu odss zako tu unanozitafuta, ukizipata odds zako hata kwa timu 3, weka mkeka!
odds 3 hadi 5 ukiweka pesa ya kutosha zinatosha saana, bora urisk 10,000/ lakini una uhakika kupata mara 3 au 5 , kuliko kurisk tsh 1000/= na kutoka holla zaidi ya mara 20! hii ni biashara ya bure hata kwa siku ukipata 30,000/= haina hasara, ila itakuwa hasara kama uta bet zaid ya mara 20 halafu zote holla!
Nilijaribu bado nikapigwa tuu...
mkuu jaribu double chans ya 1X au X2 ,
compare two team well before betting,
angalia yupo nyumbani au ugenini, yupo juu au chini,
wameachana nafasi ngapi,
angalia match 3 za mwisho za kila mmoja wapo win, draw na lose zao.
lakini bet ni ugonjwa unaweza ukapigwa tu, na usiache kucheza, teh teh
Lakini inaleta raha pale ulizomla mhindi ni nyingi kuliko zile alizokutafuna wewe....!!!
only and only bet with the spare money....!!!