Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

Jamani wazee wa kubet mimi huwa nafanya hivi je ni sahihi?
Nabet timu win,lose,draw kwenye mechi moja hivyo matokeo yoyote kati ya hayo napata hela.
Na pia nachagua timu 10 afu nachukua 5/10 hivyo timu tano zikiwin napata hela zikilose sita hela imeenda.
 
Jamani wazee wa kubet mimi huwa nafanya hivi je ni sahihi?
Nabet timu win,lose,draw kwenye mechi moja hivyo matokeo yoyote kati ya hayo napata hela.
Na pia nachagua timu 10 afu nachukua 5/10 hivyo timu tano zikiwin napata hela zikilose sita hela imeenda.

lakini inategemea na odds kwa mfano unakuta win 1.70, draw 3.2, lose 3.52. Halafu ukabet kila tukio kwa buku 10 halafu ukapata kwenye win utakua umepata 17,000 wakati umeinvest 30,000
 
Jamani wazee wa kubet mimi huwa nafanya hivi je ni sahihi?
Nabet timu win,lose,draw kwenye mechi moja hivyo matokeo yoyote kati ya hayo napata hela.
Na pia nachagua timu 10 afu nachukua 5/10 hivyo timu tano zikiwin napata hela zikilose sita hela imeenda.

lakini inategemea na odds kwa mfano unakuta win 1.70, draw 3.2, lose 3.52. Halafu ukabet kila tukio kwa buku 10 halafu ukapata kwenye win utakua umepata 17,000 wakati umeinvest 30,000

wakuu ebu nielewesheni hii ikoje,
kuna siku niliweka timu 20 meridian bet, nikaweka buku 5, hesabu ikaja naramba miln 3.6
timu moja tu ndio ikaniangusha ikatoa droo!

sasa hapo ningekula ngapi kama ningeweka 15/20, yani ningeweka atleast timu 15 zishinde. walinishauri watu nisiweke wakanitisha oooh hasara, sasa nikawa siawaelewi hasara nini wakati mfano hapo nililiwa buku5 yote!

cc KIBANGA ampiga mkoloni Deo Corleone paka mbaya scopi_on_nge DullyJr asrams rahim_baharia
 
Last edited by a moderator:
Total odds wanagawa kwa number ya timu ulizochagua.
Kama odds ziko 890 afu ukachagua timu 15 hapo zitakuja odds 59.9 ila zikishinda timu 14 hela imeenda. Ila ukiweka timu 20 afu uchague 15/20 itakataa na kukuambia too many selection.
Mimi huwa nachukua timu 10 afu nachagua 6/10 unapata odds nzuri tu.
Au huwa natumia hii njia hapa
Kwenye game moja nachagua draw,win na lose afu wao wanagawa kwa 1/3 hivyo moja ikishinda au draw au lose nakula hela yangu afu nachagua timu nyingi ili hela nitayopata iwe nyingi. Nadhani leo nalala na laki nne hivi kwenye timu nne
 
Game ya leo benfica v juve naona kama benfica anashnda japo muhind kabalance odds
 
Total odds wanagawa kwa number ya timu ulizochagua.
Kama odds ziko 890 afu ukachagua timu 15 hapo zitakuja odds 59.9 ila zikishinda timu 14 hela imeenda. Ila ukiweka timu 20 afu uchague 15/20 itakataa na kukuambia too many selection.
Mimi huwa nachukua timu 10 afu nachagua 6/10 unapata odds nzuri tu.
Au huwa natumia hii njia hapa
Kwenye game moja nachagua draw,win na lose afu wao wanagawa kwa 1/3 hivyo moja ikishinda au draw au lose nakula hela yangu afu nachagua timu nyingi ili hela nitayopata iwe nyingi. Nadhani leo nalala na laki nne hivi kwenye timu nne

hii bet inaitwa combinations, nimeielewa mkuu na hapo chini nimeweka mdadavuo wa ukweli.
 
Game ya leo benfica v juve naona kama benfica anashnda japo muhind kabalance odds
game nahisi kama vile droo, nahis magoli hayatakuwa zaidi ya matatu hivyo nahis under 2.5 yani 0-2, au kama unahisi benfica atashinda weka x-1 upate odds nzuri zaidi yani kipindi cha kwanza droo cha pili benfica anashinda, kwa game hii nahs vilevie 28+ ni nzuri vilevile
 
Total odds wanagawa kwa number ya timu ulizochagua.
Kama odds ziko 890 afu ukachagua timu 15 hapo zitakuja odds 59.9 ila zikishinda timu 14 hela imeenda. Ila ukiweka timu 20 afu uchague 15/20 itakataa na kukuambia too many selection.
Mimi huwa nachukua timu 10 afu nachagua 6/10 unapata odds nzuri tu.
Au huwa natumia hii njia hapa
Kwenye game moja nachagua draw,win na lose afu wao wanagawa kwa 1/3 hivyo moja ikishinda au draw au lose nakula hela yangu afu nachagua timu nyingi ili hela nitayopata iwe nyingi. Nadhani leo nalala na laki nne hivi kwenye timu nne

Hii option ipo kwa bepari gani.?

Premier, Meridian, Iplay 8, ladbrokers or wapi.? Halafu kama hutojali elezea tena haya maelezo umeniacha kapa hapa.
 
Total odds wanagawa kwa number ya timu ulizochagua.
Kama odds ziko 890 afu ukachagua timu 15 hapo zitakuja odds 59.9 ila zikishinda timu 14 hela imeenda. Ila ukiweka timu 20 afu uchague 15/20 itakataa na kukuambia too many selection.
Mimi huwa nachukua timu 10 afu nachagua 6/10 unapata odds nzuri tu.
Au huwa natumia hii njia hapa
Kwenye game moja nachagua draw,win na lose afu wao wanagawa kwa 1/3 hivyo moja ikishinda au draw au lose nakula hela yangu afu nachagua timu nyingi ili hela nitayopata iwe nyingi. Nadhani leo nalala na laki nne hivi kwenye timu nne

du? Bado sijakusoma vizuri mkuu
 
game nahisi kama vile droo, nahis magoli hayatakuwa zaidi ya matatu hivyo nahis under 2.5 yani 0-2, au kama unahisi benfica atashinda weka x-1 upate odds nzuri zaidi yani kipindi cha kwanza droo cha pili benfica anashinda, kwa game hii nahs vilevie 28+ ni nzuri vilevile

na vipi game ya sevila naona kama sevila atapga handcap
 
Ngoja niattach picha jinsi nilivyofanya
Namtumia meridian
 
Betting siku ukiipatia unapata hela ndefu kweli na siku ikikupata unalia
 

Attachments

  • mer.PNG
    mer.PNG
    5 KB · Views: 79
  • merrrr.PNG
    merrrr.PNG
    6.4 KB · Views: 75
  • merr.PNG
    merr.PNG
    6 KB · Views: 78
wakuu nimekwenda chimbo nimepata desa hili,

Combination betting comes at a higher original stake to an accumulator, because you are placing more than one bet. The advantage of this type of bet is you won't be screwing your slip up at full time with the painful disappointment of one team letting down your whole bet.

Combination betting works best if you can avoid very short prices, I like to work on the principle that anything over 4/6 (1.67) could be bet in combination and give a profitable return.
With combination betting, the more teams you chose, the more your bet will cost you, but of course, the more profitable it could be. The best way to show this is a working example:

I have found four selections I want to bet on:

Bolton
to beat Aston Villa at 13/10 (2.3)
West Ham to beat Stoke at 5/4 (2.25)
Newcastle and Everton to draw at 12/5 (3.4)
QPR to beat Leicester at 5/4 (2.25)

As a 4-fold accumulator with a stake of £2 this would give a return of £80. But in this case Everton actually beat Newcastle so therefore the accumulator would have lost.

Rather than betting on the accumulator, bet on the trebles within these four selections. That means you are actually placing four treble bets rather than the one accumulator (there is nothing stopping you betting on the accumulator as well).

This obviously means your stake increases by four. So 4 x £2 = £8 total stake. If all four selections won you would be paid out on all four trebles so your payout would be:

Bolton, West Ham, Newcastle vs Everton draw – treble pays £35.19
Bolton, West Ham, QPR – treble pays £23.29
West Ham, Newcastle vs Everton draw, QPR – treble pays £34.42
Newcastle vs Everton draw, Bolton, QPR – treble pays £35.19

Total return from your £8 stake would be £35.19 + £23.29 + £34.42 + £35.19 = £128.09.

Unfortunately in this case the Newcastle vs Everton result was an Everton victory so only three out of my four selections were correct. But because Bolton, West Ham and QPR won there is one winning treble so you would be paid £23.29, a profit of £15.29 from your original £8 stake.
 
nauliza endapo nikibet via mbet nikafanikiwa pesa yangu wataitima saa ngap....jana nimebet but up to nao hawajanipa hela
 
Back
Top Bottom